Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Nimesoma just now toka blog ya *************** kuwa amekamatwa kwa mauaji yaliyotekea juzi hapo Singida, hii ni baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari
Umesikia blog gani? Nadhani ni vema kuwa more precise unapotoa taarifa za namna hii
Aliua vipi wakati alikuwa jukwaani akihutubia? POLISI CCM mnachekesha. Haya ndiyo aliyoyasema Tundu Lissu ya kumbambikiziwa kesi ili kukomoa watu kwasababu KESI ya mauji hana mdhamana.
Sidhani kama ni kweli!
Alikamatwa jana (Jumapili) saa nne asubuhi. Amefikishwa mahakamani leo lakinis kwa kosa la mauaji. Ameshitakiwa kwa kutoaliugha ya matusi dhidi ya Miwigulu Nchemba. Lakini kuna vijana wengine sita kutoka kijiji cha Nguvumali, ambako vurugu zilitokea, ndio wamefikishwa mahakanai kwenye ksi nyingine tofauti kwa kosa la mauaji ya kiongozi wa UVCCM. Mpaka saa tisa Waitara alikuwa anahangaika kutimiza masharti ya dhamana ambayo iko wazikakamatwa saa ngap? Tupen habari za uhakika wakuu mbona mnatuchanganya?
Yule Mwita Mwikabe wa Azania ya Kwayu?
Kwa hiyo anaweza pata dhamana sio?Alikamatwa jana (Jumapili) saa nne asubuhi. Amefikishwa mahakamani leo lakinis kwa kosa la mauaji. Ameshitakiwa kwa kutoaliugha ya matusi dhidi ya Miwigulu Nchemba. Lakini kuna vijana wengine sita kutoka kijiji cha Nguvumali, ambako vurugu zilitokea, ndio wamefikishwa mahakanai kwenye ksi nyingine tofauti kwa kosa la mauaji ya kiongozi wa UVCCM. Mpaka saa tisa Waitara alikuwa anahangaika kutimiza masharti ya dhamana ambayo iko wazi