Mwita kada wa chadema na mtatiro naibu katibu cuf wapo live channel ten 'BALAGUMU' mada.ushirikiano vyama vya upinzani bungeni. Mwita anasema ni vigumu kushirikiana.1 cuf ni sehemu ya serikali.2 walinadi sera kwa wananchi si kushirikiana. 3 kuna wabunge wa CDM wameshtakiwa nk. Mtatiro si haki CDM kuunda kambi ya upinzani. My take hoja za cuf kutaka ushirikiano hazina mshiko ni hatari kwa CDM