Mwigulu anaweweseka. Unacheza na DAMU ya Mtu. Tena Mtu ambaye Yuko Jimboni Kwako. Ile ya Igunga na Arumeru haiwezi Kumtesa. Hii ya Jimboni kwake Itamtesa kwa Sababu Kila atakapokuwa anakwenda atakuwa anawakumbusha watu MACHUNGU
Mwigulu Badilisha Strategis Hizi za MAUAJI Hazifai
Mwigulu Nchemba ni mtoto mdogo,
Katika masuala ya siasa,
Yeye anadhani anajijenga,
kumbe ni buffer ya wazee wa CC.
Kule NEC wanamvisha kilemba cha ukoka,
CC wanatoa baraka,
yeye anadhani yupo kileleni,
saa ikifika atajua maana ya kilemba.
CC ya CCM siku zote,
Ni lazima iteue,
Kondoo wa kafara,
This time kondoo,
ni Mwigulu Nchemba.
Si muda mrefu,
Watanawa mikono wote,
na kumwacha ajibu mwenyewe,
Ikibidi afe kisiasa,
na kuinusuru CCM.
Yeye hatakuwa wa kwanza,
wala hatakuwa wa mwisho.
Kila dhambi ina kafara yake.
Mwigulu lazima yupo kwenye hii thread atakuwa amevimbisha midomo utafikiri anapuliza puto
Mwigulu, " who judges others condems himself" and You cannot shoe a running horse. So pls, pls be patience.
Katika kile kinachoonekana kutafuta mahali pa kujishika, Mbunge wa Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba amemtaka msajili wa Vyama vya siasa nchini John Tendwa kusitisha mara moja operesheni Sangara za chama hicho kwa kile anachodai zinatishia amani ya nchi.
Mwigulu alisema baada ya mazishi ya kada wa chama chake hapo jana yaliyotokea huko Ndago atahakikisha anapambana kwa nguvu zote na CHADEMA ili kukomesha tabia yao.
Source:Habari Leo
My Take:
Wachunguzi wa mambo wanadai kuweweseka huku kwa Mwigulu ni kutokana na kutuhumiwa kama mhusika mkuu wa mauaji yaliyotokea kwa kile wanachodai alikodi vikundi vya vijana na kuwapa hela ili wakavuruge mkutano wa CHADEMA na ndipo wananchi walipozidi nguvu kikundi hicho cha wahuni na kuwatimulia mbali.
Hata hivyo mpaka sasa bado jeshi la polisi halijafanya mahojiano yoyote na Mwigulu ili kuchunguza madai hayo. Mwigulu amekuwa mara nyingi akitoa maneno ya hovyo na matusi dhidi ya CHADEMA hasa awapo bungeni na kwenye mikutano ya hadhara.
Tayari jimbo lake la Iramba Magharibi CHADEMA ina nguvu kubwa na kuna uwezekano mkubwa Mwigulu asirudi tena bungeni baada ya uchaguzi ujao.
Iling'atwa wakati akifanya uzinzi nini mkuu?mbona midomo yake ishavimba siku nyingi!
ukimuona burn karudi(mwingulu) wala usiulizeMwigulu lazima yupo kwenye hii thread atakuwa amevimbisha midomo utafikiri anapuliza puto
Katika kile kinachoonekana kutafuta mahali pa kujishika, Mbunge wa Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba amemtaka msajili wa Vyama vya siasa nchini John Tendwa kusitisha mara moja operesheni Sangara za chama hicho kwa kile anachodai zinatishia amani ya nchi.
Mwigulu alisema baada ya mazishi ya kada wa chama chake hapo jana yaliyotokea huko Ndago atahakikisha anapambana kwa nguvu zote na CHADEMA ili kukomesha tabia yao.
Source:Habari Leo
My Take:
Wachunguzi wa mambo wanadai kuweweseka huku kwa Mwigulu ni kutokana na kutuhumiwa kama mhusika mkuu wa mauaji yaliyotokea kwa kile wanachodai alikodi vikundi vya vijana na kuwapa hela ili wakavuruge mkutano wa CHADEMA na ndipo wananchi walipozidi nguvu kikundi hicho cha wahuni na kuwatimulia mbali.
Hata hivyo mpaka sasa bado jeshi la polisi halijafanya mahojiano yoyote na Mwigulu ili kuchunguza madai hayo. Mwigulu amekuwa mara nyingi akitoa maneno ya hovyo na matusi dhidi ya CHADEMA hasa awapo bungeni na kwenye mikutano ya hadhara.
Tayari jimbo lake la Iramba Magharibi CHADEMA ina nguvu kubwa na kuna uwezekano mkubwa Mwigulu asirudi tena bungeni baada ya uchaguzi ujao.