Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Kujiunga kwa Mwigulu hapa ndani ya JF na hivyo kuleta wabunge wengi zaidi ni dalili nzuri sana na kwa mbaali mwanga wa mabadiliko unaanza.
Nafikiri wengi mnakumbuka miaka kadhaa watu walitishiwa kufukuzwa kazi kwa kusoma JF ila sasa naona imeshakuwa historia kwani viongozi vijana (bila kujali wapo upande gani) wameanza kuingia hapa moja kwa moja kwa majina yao.
PJ, muache kwanza mgeni basi azowee maana hayo maswali yatakuja baadaye. Mwigulu Nchemba, karibu sana.
Nafikiri wengi mnakumbuka miaka kadhaa watu walitishiwa kufukuzwa kazi kwa kusoma JF ila sasa naona imeshakuwa historia kwani viongozi vijana (bila kujali wapo upande gani) wameanza kuingia hapa moja kwa moja kwa majina yao.
PJ, muache kwanza mgeni basi azowee maana hayo maswali yatakuja baadaye. Mwigulu Nchemba, karibu sana.