Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Punguza mapovu sema nini wanampakazia huyo mwanenu na amejibu nini.Kiongozi big up kwa ufafanuzi. Watu wengine wa ajabu sana sijui ni chuki binafsi? JF inasomwa na wengi na kuaminiwa mtu unapoandika kitu cha kizushi huwatendei haki wanaotegemea JF kama chanzo cha kuaminika. Mwigulu is not such a cheap person na infact ndiye pekee so far hajakumbwa na kansa ya makundi. Kama kijana mwenetu bila kujali itikadi nampongeza kwa kuwa independent in thinking, keep it up. Wanaokupakazia wataendelea kuumbuka kama huyu ndugu yetu mwenye chuki binfsi