Ofcoz kuna mambo mengi husemwa hapa na huwa ni ya kusingizia...ukiwachukulia serious watu unaweza kupasuka kichwa ama moyo kwa presha
Hamisi acha uzushi, unataka kutuaminisha ujinga kama mlivyozoea kuwahada watz wenye low self esteem. Kwa asilia 98 ni kweli.