Tchacho mbala
Member
- May 3, 2015
- 28
- 0
Uwakilishi, kuisimamia na kuishauri serekali ndo kazi za mbunge yoyote kwa haya juu mnyika amepambana sana hata wewe musa rohoni unakubari isipokua buku 7
mwigamba ni lori la mkaa,leyland CD,hawezi kupambana na ferariMi nahisi ujio wa Mwigamba jimbo la Ubungo ni kama kumpeleka Mbele Mnyika.......
Hii ni kwa sababu mwigamba ni mtu dhaifu sana na kura za Mnyika zimekaa. Hivyo ujio wake utapunguza japo kiduchu kura za CCM na sio za Mnyika.
Mwigamba ni mtu au mnyama?
Sisi wana ubungo hatumtaki kabisaa mnyika,dumu la maji tunanunua 2000 kwa sasa
Mara sisi wanaArusha, mara WanaArumeru na Leo ni MwanaUbungo......... Leo niambie kwenu ni wapi?
LEMA, MNYIKA, SUGU, WENJE , KIWIA, MSIGWA, SELASINI etc hawa Bunge lijalo watalisikia tu!
Mnyika wa 2010 sio huyu, wanaubungo walikuwa na matumaini naye baada ya kuwaahidi mambo kadhaa, ila sasa keshapoteza mvuto, kwani hajatekeleza ahadi yake hata moja!
Sisi wana ubungo hatumtaki kabisaa mnyika,dumu la maji tunanunua 2000 kwa sasa
Kwahiyo Mnyika ameshindwa?
LEMA, MNYIKA, SUGU, WENJE , KIWIA, MSIGWA, SELASINI etc hawa Bunge lijalo watalisikia tu!
Kwahiyo Mnyika anaiiga CCM?
MUSSA ALLAN sijawahi kuamini kama kam una ubongo hata kidogo tu.Hata wakisimamisha jiwe VS Mnyika Ubungo, jiwe linashinda!