MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,550
- 24,157
Mwigamba hata akijipanga vipi hawezi kushinda sio ubungo tu ila kwenye jimbo lolote katika Tz hii.
mwigamba kapakimbia magu sembuse ubungo
Mwigamba hauko strategic, ukitaka ubunge nenda kijijini kwenu, hapo mjini ni kwa wajanja kama akina mnyika, utapoteza hela zako na resources nyingine unnecesary. Ni kama vile hapa arusha useme unakuja kugombea hapa, itakuwa kwako kwani hapa hakuna hadithi ni chade,a tuuuuuuuuu.
We wawap? mbona hueleweki mara geita mara ubungo! kama ni wageita yaubungo unayajuaje? kama walikuahid halafu hawakutimiza wabwagen hao akina ben kama wanavyotaka kufanyanya watu wa ubungo kumbwaga mnyika. au unataka kutuaminisha nn? kwamba aachwe au!acha ushamba geita tuliahidiwa maji na mr Ben na jk mpaka ana ondoka hakuna maji..mnyika kapambana sana ktk suala la maji
Mwigamba hata akijipanga vipi hawezi kushinda sio ubungo tu ila kwenye jimbo lolote katika Tz hii.
Hata wakisimamisha jiwe VS Mnyika Ubungo, jiwe linashinda!
Na ccm iliyoahidi maisha bora kwa kila mtanzania wananchi wataifanyaje?
Na ccm iliyoahidi maisha bora kwa kila mtanzania wananchi wataifanyaje?
Acha kudanganya wewe, mimi ni mkazi wa Ubungo na ninajua ahadi zake alizoahidi alizotekeleza na ambazo hakutekeleza. Waulize wananchi wa Makoka/Kibangu aliwaahidi nini wakati wanapata shida ya usafiri(barabara) kupitia Riverside baada ya ile ya awali karibu na daraja la TANESCO kubomoka. Nayasema hayo kwa kuwa nilikuwepo wakati anatoa ahadi hiyo na barabara imejengwa.Mnyika wa 2010 sio huyu, wanaubungo walikuwa na matumaini naye baada ya kuwaahidi mambo kadhaa, ila sasa keshapoteza mvuto, kwani hajatekeleza ahadi yake hata moja!
Wote ninyi ni viroboto wa ZZK.Mnyika hamumuwezi wapuuzi nendeni huko mwandiga mkaeneze udini wenu.