masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,906
- 13,211
Seke seke la Lowassa kutaka kuutwaaa urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, kwa kutumia umaarufu wake wa fedha zake na"marafiki zake", limeanzakuchukua sura ambayo sasa inatishia uhai wa CCM kama chama chenye mshikamano.
Mshikamano uliozoeleka katika hafla tofauti za kitaifa sasa zimeanza kubinafsishwa kwakuwa na hafla binfsi zenye kuweza kutoa matamko mazito ya "Ndoto za safari za kisiasa".
Ni mjinga tu asiyeweza kung'amua kuwa ndoto hizo ilikuwa tamko rasmi ya Lowassa kujitangazia kuwania urais, nje ya utratibu wa chama chake cha CCM.
Tumeona jinsi hata wachaguliwa wa wananchi walivyoweza kutumika ku-endorse ndoto za Mheshimiwa Lowassa, tena bila aibu.
Tumeona vile vile wanasiasa wa rika mbali mbali walivyojitokeza kupinga tamko la ndoto hizo za Lowassa , nje ya utaratibu wa chama, na tmemsikia Nape,Makonda, Magula na sasa mzee Malecela, wote wakiwa viongozi waandamizi ndani ya CCM.
Suala la ndoto za Lowassa hazikuibuka kama jua la asubuhi, bali limekuja baada ya yeye "kutoa misaada" mingi sana makanisani, misikitini, na hivi karibuni makundi ya vijana wa boda boda jijini Dar es alaam.
Taratibu za kawaida ZIMESHINDWA kumdhibiti Lowassa kwa vile sasa ni dhahiri CCM imegawanyika, haina tena ule mshikamano katika kudhibiti suala la Lowassa.
Kisa hiki kimenikumbusha scandal moja huko Marekani, iliyohusu uuzaji wa silaha kwa wapinzani wa serikali moja ambayo Marekani hawakuipenda sana.
Mauzo ya silaha hizo na operation yenyewe ilikuwa kinyume cha sheria, lakini kuna watu ndani ya serikali walifahamu mpango mzima.
Siki ya siku walipobanwa kisawasawa, msaidizi mmoja wa Rais Ronald Reagan alikuwa na ujairi wa kusema, The buck stops here with me".
Na kwa kweli huyo jamaa akakubali lawama zote pamoja na kuwajibika.
Sasa suala letu la Lowassa, inaelekea viongozi wote hadi ngazi ya Naibu Mwenyekiti CCM-Bara, Nd Mangula, jamaa ameshindikana!
Binafsi siamini kama kamati ya Nidhamu ya Chama itatoa maamuzi ambayo yanaweza kumtia hatiani Mhe Lowassa.
Na hapo ndo naamini kuwa The buck stops at the CCM chairmans' door step, Pres. Jakaya Kikwete, the ball is in your court.
Mshikamano uliozoeleka katika hafla tofauti za kitaifa sasa zimeanza kubinafsishwa kwakuwa na hafla binfsi zenye kuweza kutoa matamko mazito ya "Ndoto za safari za kisiasa".
Ni mjinga tu asiyeweza kung'amua kuwa ndoto hizo ilikuwa tamko rasmi ya Lowassa kujitangazia kuwania urais, nje ya utratibu wa chama chake cha CCM.
Tumeona jinsi hata wachaguliwa wa wananchi walivyoweza kutumika ku-endorse ndoto za Mheshimiwa Lowassa, tena bila aibu.
Tumeona vile vile wanasiasa wa rika mbali mbali walivyojitokeza kupinga tamko la ndoto hizo za Lowassa , nje ya utaratibu wa chama, na tmemsikia Nape,Makonda, Magula na sasa mzee Malecela, wote wakiwa viongozi waandamizi ndani ya CCM.
Suala la ndoto za Lowassa hazikuibuka kama jua la asubuhi, bali limekuja baada ya yeye "kutoa misaada" mingi sana makanisani, misikitini, na hivi karibuni makundi ya vijana wa boda boda jijini Dar es alaam.
Taratibu za kawaida ZIMESHINDWA kumdhibiti Lowassa kwa vile sasa ni dhahiri CCM imegawanyika, haina tena ule mshikamano katika kudhibiti suala la Lowassa.
Kisa hiki kimenikumbusha scandal moja huko Marekani, iliyohusu uuzaji wa silaha kwa wapinzani wa serikali moja ambayo Marekani hawakuipenda sana.
Mauzo ya silaha hizo na operation yenyewe ilikuwa kinyume cha sheria, lakini kuna watu ndani ya serikali walifahamu mpango mzima.
Siki ya siku walipobanwa kisawasawa, msaidizi mmoja wa Rais Ronald Reagan alikuwa na ujairi wa kusema, The buck stops here with me".
Na kwa kweli huyo jamaa akakubali lawama zote pamoja na kuwajibika.
Sasa suala letu la Lowassa, inaelekea viongozi wote hadi ngazi ya Naibu Mwenyekiti CCM-Bara, Nd Mangula, jamaa ameshindikana!
Binafsi siamini kama kamati ya Nidhamu ya Chama itatoa maamuzi ambayo yanaweza kumtia hatiani Mhe Lowassa.
Na hapo ndo naamini kuwa The buck stops at the CCM chairmans' door step, Pres. Jakaya Kikwete, the ball is in your court.