Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Lewis Makame amestaafu, tumkumbukuke kwa lipi?

Rapist of our democracy and 'kibaraka' wa ccm usife kabla hujaona mabadiliko chini ya CHADEMA 2015-aibu yako umeidhalilisha taaluma ya sheria labda ulichakachua?
 
hatuna kumbukumbu za kutosha kuhusu utumishi wake kama jaji; lakini kama mwenyekiti wa tume ya uchaguzi tutamkumbuka kwa wizi na uchakachuaji wa kura pamoja na kuchangia kuviza demokrasia yetu changa.

inawezekana hata huko kwenye ujaji alitoa hukumu kinyume cha sheria,alibambikia watu makesi
 
Utasikia tena kesho anateuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi gani sijui pamoja na kuchoka na kuboronga koote huku!
 
Huyu mzee ni chanzo cha watanzania kuendelea kutaabika kwa ugumu wa maisha kwa ku-impose rais aliyekataliwa na watanzania baada ya kumpima kwa miaka mitano na kubaini kuwa hatoshi kuwa rais wa nchi hii. Alaaniwe sana huyu mzee hana faida yoyote hapa duniani yaani ni sawa na ibilisi tu.
 
jaji aliyechanganywa na taalum ya sheria akidhani, kufafanua sheria kwa niaba ya watu wachache ni busara na ndio jukumu lake la msingi kama baba na mzazi.
Atakumbukwa kwa kuiachia familia yake aibu ya utindio.
 
Kumbukumbu ya kurudiwa uchaguzi wa dsm mwaka 1995, amri aliyoitangaza saa sita usiku baada ya takwimu kuonyesha majimbo yote ya dsm yameshikiriwa na NCCR Mageuzi.
Kumbukumbu ya wabunge wengi wa ccm kutangazwa washindi mwaka 2010 huku wananchi wakipigwa mabomu.
Kumbukumbu ya kuondolewa majina ya vijana wengi katika daftari la wapiga kura 2010.
kama ni kumbukumbu ya mema mimi sina. Mtu huyu ametuharibua demokrasia kwa kutokuwa huru.
Amshukuru Mungu kwa kufikia kustaafu vinginevyo naona 2015 angekuwa sawa na Kivuitu wa Kenya
 
Ni furaha yangu kusikia huyu Mzee anapumzika, kwa amani Mzee wa watu cha mhimu katafute mda wa kutengeneza maisha yako mwombe Mungu akusamehe pale ambako uliikosea demokrasia ya Tanzania, machozi ya wa TZ yako nyuma yako.
 
Wanadamu wengi wanaokuwa kwenye kazi na kuondoka au wanapofariki huwa wanakumbukwa kwa yale mema waliofanya walipokuwa kwenye ile ofisi au duniani. Kwa mtazamo huo yupo mtu aliyekuwa mhimu kwa mustakabali wa Tanzania huyu si mwingine ni Jaji mstaafu aliyekuwakuwaMwenyekiti wa tume ya uchaguzi Lewis Makame ambaye kwa mujibu wa vyombo vya habari amefikia mwisho wa utumishi wake. Sasa tujiulize Watanzania tunaweza kumkumbuka kwa yapii mema au ni alama gani ameiacha ambayo kwayo atakumbukwa kwayo?
Tutamkumbuka sana kwa kutuingiza watanzania katika maisha magumu na dimbwi la umasikini wa kupindukia kwa kutuchagulia rais kilaza kwa kushirikiana na usalama wa taifa. Kwa hili hatutamsahau kamwe.
 
R.I.P Hon Makame oooops sorry kumbe bado yu hai, nenda makame nenda For sure you left no legacy behind, hope withouit your doings in 2015 Tanzania will have people's choice for President!
 
Tumkubueke kama moja ya wasomi wanafiki walioiba haki ya wananchi wa Tanzania na kuwapa ushindi mafisadi kwa kulipwa fedha kiduchu
 
Wanadamu wengi wanaokuwa kwenye kazi na kuondoka au wanapofariki huwa wanakumbukwa kwa yale mema waliofanya walipokuwa kwenye ile ofisi au duniani. Kwa mtazamo huo yupo mtu aliyekuwa mhimu kwa mustakabali wa Tanzania huyu si mwingine ni Jaji mstaafu aliyekuwakuwaMwenyekiti wa tume ya uchaguzi Lewis Makame ambaye kwa mujibu wa vyombo vya habari amefikia mwisho wa utumishi wake. Sasa tujiulize Watanzania tunaweza kumkumbuka kwa yapii mema au ni alama gani ameiacha ambayo kwayo atakumbukwa kwayo?
Atakumbukwa kama respected Judge of High court,

Amejitahidi na Mungu amjaalie mapumziko mema na wajukuu zake

Kila mtu ana mchango wake katika mustakabali wa taifa letu.
 
Back
Top Bottom