Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Lewis Makame amestaafu, tumkumbukuke kwa lipi?

hana maana yeyote wala akili mzee huyu....

alifikia pahala AKAKUBALI UTARATIBU WA USALAMA ETI MATOKEO YA URAISI YASIHESABIWE NA KUTANGAZWA MAJIMBONI..

ni mbakaji mkubwa wa Demokrasia.... amwombe Mungu amwue mapema kabla ya siku yake ya hukumu.....
 
Mi ntakumkumbuka kwa kutaka kumchakachua WENJE-Nyamagana Mwanza ili Masha ashinde
2nashukuru wananchi wa Mwz na nguvu ya umma kucmamia bila kumsahau kamanda wa ulinz mwanza ingawa vijibom vlipita bt peace
C huyu mzee aliyetaka white kuwa black
Rest in peace lyk undertaker
Hate u frm ze bottom ov ma heart,u ruin ppoz freedom
 
Mhhh siruhusiwi kumhate mtu ila hapa naona nashindwa kuzizuia hisia zangu
Hana lolote nitakalomkumbuka nao zaisi ya kumchukia
 
Hana lolote huyo kichefuchefu cha watanzania wapenda demokrasia,angekuwa mnyama basi angekuwa nguruwe anaezaa watoto kisha anawala! ingekuwa heri kwake akitubu asije akafa na dhambi alizowatenda watanzania sijui atamweleza nini Mungu? sitaki kumkumbuka kabisa.
 
Marehemu waliotangulia wanaandaa kuni tu huko waliko wanasubiri akifa wamchome hakika anaenda motoni huyu na mungu amchukue haraka
 
Hakuna cha kutufanya tumkumbuke. Ila mimi binafsi ninampatia pongezi kuu moja nayo ni ya kuondoka katika nafasi iliyomfanya awe vulnerable kila upande, kuanzia kwenye maisha yake mpaka kitisho cha kufikiashwa the hague. Naam nina maana kuwa kama angekuwa mtenda haki katika kazi yake hiyo CCM wasingemwacha mpaka leo akawa mwenyekiti wa tume wangetumia mbinu yoyote ile kama walivyotumia kwa waliowahi kuwapinga waziwazi huko nyuma. Upande wa kufikishwa the hague ni pale alipokuwa akitekeleza maagizo ya CCM katika uchaguzi kama yangezua vurugu kama za Kenya, lawama zote zingekuwa juu yake kama tulivyoona kwa 'Kivuitu' wa Kenya.

Wenyeviti wenzake wa tume ya uchaguzi wa Zanzibar hawakudumu kama yeye, kwani theory ni kuwa ukishachakachua mara moja matokeo ya urais unastaafu ili kumpisha mwingine naye aje afanye hivyo uchaguzi ujao. Amedumu muda mrefu kwa kuwa huko nyuma CCM ilikuwa inashinda uchaguzi wa urais kihalali, ila 2010 ilikuwa ni zamu yake kuchakachua na alionesha kutokuwa na uzoefu wa kazi hiyo pale alipokuwa akichanganya takwimu na kujiumauma. Alionesha wasiwasi wa wazi kabisa alipokuwa akimtangaza mshindi, kana kwamba alifanya hivyo akiwa under concealed gun points. Inanikumbusha walivyokuwa wakifanyiwa magolikipa enzi za zamani wakienda cheza mpira na timu za misri, unaambiwa mimi nakuwa pale nimekuelekea silaha ukidaka mpira nafyatua.

Othewise kama mtanzania mwenzangu ninamtakia maisha mema na marefu ya ustaafu, hoping ataandika kitabu kizuri kuhusu kazi yake kama mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi wa kwanza tangu kurudisha mfumo wa vyama vingi na kuweka wazi yale yote aliyokuwa akilazimishwa kuyafanya na UWT kwa niaba ya CCM. Hiyo itakuwa ni legacy pekee itakayomfanya tumkumbuke hata mwenyezi mungu akichua amana yake ya uhai aliompatia.
 
Mambo mengine mpaka wanaona aibu, wanatangaza matokeo kwa wiki nzima eneo unaloweza kulizuru kwa nusu saa tu, wanadai miundombinu mibovu, kama jimbo la segerea wiki moja
ubungo siku 5
mwanza siku 3
shinyanga ndo balaaa mpaka sasa mbunge wa magamba kakimbia nyumba yake. wananchi hawamtaki

hili nalo neno
 
HE WAS THE WORSE NEC CHAIRMAN EVER. He has been an obstacle of free and fair election. he hate openness and accountability.
 
Wanadamu wengi wanaokuwa kwenye kazi na kuondoka au wanapofariki huwa wanakumbukwa kwa yale mema waliofanya walipokuwa kwenye ile ofisi au duniani. Kwa mtazamo huo yupo mtu aliyekuwa mhimu kwa mustakabali wa Tanzania huyu si mwingine ni Jaji mstaafu aliyekuwakuwaMwenyekiti wa tume ya uchaguzi Lewis Makame ambaye kwa mujibu wa vyombo vya habari amefikia mwisho wa utumishi wake. Sasa tujiulize Watanzania tunaweza kumkumbuka kwa yapii mema au ni alama gani ameiacha ambayo kwayo atakumbukwa kwayo?

Akumbukwe kwa lipi ndugu yangu?!!, huyu mzee kachangia kwa njia moja ama nyingine kutufikisha hapa tulipo, yaani kila nikisikia jina lake tu nywele zangu zinasimama na tumbo kuunguruma. mkitaka kumsamehe msameheni, lakini mimi sitamsamehe mpaka naingia kaburini.
 
huyu mzee ni masaburi matupu hana akili,hajui matumizi ya weled wake,jaji unapelekeshwa na magamba,atakuta kibano chake kwa mungu
 
Akumbukwe kwa kukubali kwake kutumiwa na magamba. Mzee wa watu aliweka ukweli pamoja na professional yake ili kuwalamba magamba miguu!
 
Back
Top Bottom