Mwenyekiti wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji ajiondoa kutetea nafasi ya Uenyekiti ACT

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
GH0xr8VWEAAphx5.jpeg
Mwenyekiti wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha uenyekiti ACT – Wazalendo na kumuunga mkono makamu wake, Othman Masoud Othman.

Babu Duni amejiondoa kutetea nafasi hiyo aliyokuwa akihudumu kabla ya muda wake kuisha leo Jumatatu Machi 4, 2024, ikiwa imesalia siku moja kabla ya Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo utakaowachagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Kabla ya hatua hiyo, umekuwepo mchuano mkali baina ya wawili hao, huku Babu Duni akilalamikia hujuma za watu waliokuwa wanamshinikiza ajiondoea kwa kuwa ni mzee na kitendo cha wenyeviti wa mikoa kumchukulia fomu mshindani wake.
GH0pdZlWUAE1YkO.jpeg
 
Mwenyekiti wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha uenyekiti ACT – Wazalendo na kumuunga mkono makamu wake, Othman Masoud Othman.

Babu Duni amejiondoa kutetea nafasi hiyo aliyokuwa akihudumu kabla ya muda wake kuisha leo Jumatatu Machi 4, 2024, ikiwa imesalia siku moja kabla ya Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo utakaowachagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Kabla ya hatua hiyo, umekuwepo mchuano mkali baina ya wawili hao, huku Babu Duni akilalamikia hujuma za watu waliokuwa wanamshinikiza ajiondoea kwa kuwa ni mzee na kitendo cha wenyeviti wa mikoa kumchukulia fomu mshindani wake.
MAMBO YA ZITTO HAYO MZEE WANGU WALIUTUMIA UMAARUFU WAKO WAMEKUCHOKA
 
Mwenyekiti wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha uenyekiti ACT – Wazalendo na kumuunga mkono makamu wake, Othman Masoud Othman.

Babu Duni amejiondoa kutetea nafasi hiyo aliyokuwa akihudumu kabla ya muda wake kuisha leo Jumatatu Machi 4, 2024, ikiwa imesalia siku moja kabla ya Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo utakaowachagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Kabla ya hatua hiyo, umekuwepo mchuano mkali baina ya wawili hao, huku Babu Duni akilalamikia hujuma za watu waliokuwa wanamshinikiza ajiondoea kwa kuwa ni mzee na kitendo cha wenyeviti wa mikoa kumchukulia fomu mshindani wake.
Bongo bahati mbaya
 
Wakati Babu Duni anakwenda kuchukua fomu, alipata wasaa wa kuongea na wanachama wa ACT kuhusu sababu za yeye kutaka kuendelea kuongoza chama hicho.

Babu Duni ambaye mm binafsi hupata raha sana kumsikiliza kutokana na ucheshi wake alieleza mengi na hasa ukweli kuwa bado ana uwezo wa kuongoza chama hicho.

Babu Duni ambaye amezunguka nchi nzima kuipromoti ACT amejikuta katika wakati mgumu kufuatia makamu wake kuchukua fomu na yeye kuambiwa ajitoe kwa sababu ni mzee.

Siku ile anaongea na wanachama wakati anachukua fomu alitoa mifano mingi akimrejea mzee Mandela, akamrejea Maalim Seif na viongozi kede kede.

Akasema na ninamnukuu, "Mm sina kiburi, siiiina."

Leo Babu Duni ambaye wanachama wake walijitokeza kupinga kiongozi huyo kudhalilishwa amejiondoa kugombea nafasi hiyo.

Sijui Babu Duni amepatwa na nini.

Babu Duni nimjuae mm sio muoga, sio urojo wala sio mnyonge lkn kwa Othman Masoud kaachia mwenyewe.Kwa.mtaji huo Babu Duni ndio amepotea kisiasa, atapewa nyadhifa nyingine lkn uenyekiti mtamu bana.Pole sana Babu Duni.
 
Back
Top Bottom