Juma Duni Haji

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,921
30,264
JUMA DUNI HAJI

Nilikutana na Juma Duni Haji kwa mara ya kwanza chumbani kwa Maalim Seif Starlight Hotel mwaka wa 1995 CUF ikiwa katika harakati za Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kurejeshwa vyama vingi.

Juma Duni alikuwa ndiyo kawasili kutoka masomoni Uingereza na kaja moja kwa moja akitokea uwanja wa ndege kuonana na Maalim.

Katika chumba kile kulikuwa na watu wengine pamoja na mimi.

Tulikuwa katika kikao kizito.

Maalim akatutambulisha kuwa Juma Duni ni mgombea wake mwenza Zanzibar.

Urafiki wangu na Juma Duni ulianzia hapo na siku ile.

Juma Duni yupo katika shajara zangu na katika maktaba yangu ya picha.

Nilikuwa nafatilia haya yaliyotokea na leo nilipoletewa taarifa kuwa kaliondoa jina lake katika kugombea nafasi ya uenyekiti sikushangaa.

Juma Duni Haji katoka mbali na harakati za ukombozi na kapita ndani ya tanuri la moto.

Juma Duni Haji anajua faida ya subra, ustahamilivu na nguvu ya umoja katika chama na ndani ya chama.

Juma Duni Haji kaona yote kwa macho yake na akiwa mchezaji wa duru la ndani.

Juma Duni Haji hajapata kuwa mchezea pembeni.

Juma Duni Haji kasaidia kukiongoza chombo hadi bandarini kwa salama na amani.

Haya ni mepesi ikiwa nia ni kuwapa ushindi wanachama na kuipa ushindi nchi yetu.

Leo ACT Wazalendo imeshinda na sote ni washindi.

Tumekuwa washindi siku zote.
Historia yetu inajieleza wenyewe.

Hakika kutoka 1995 hadi leo 2024 ni mwendo mrefu.

1709581553433.jpeg

Juma Duni Hajji akihutubia mkutano Korogwe
Uchaguzi Mkuu 1995 kushoto ni Akida Mbaruku Nyenga
1709581650844.jpeg

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba akihutubia mkutano wa kampeni Korogwe pembeni yake ni Juma Duni Haji.
1709581743455.jpeg

Kushoto: Mohamed Omari Mkwawa, Juma Duni Haji na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba nyumbani kwa Mama Ummy bint Anzuani, Ngamiani Tanga Mdhamini wa CUF Uchaguzi Mkuu 1995.
1709581837976.jpeg

1709581879938.jpeg

Prof. Lipumba na Juma Duni wakiwa White Rose Hotel Tanga, Uchaguzi Mkuu 1995.​
 
Ahsante umetujuza vema, kumbe ni wewe ni mwanachama wa ACT-Wazalendo.
Nguruvi3,
Nilikuwa CUF sasa niko ACT Wazalendo.

1709612564611.png

Kushoto Juma Duni Haji, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na Mwandishi (Mohamed Said Salum Abdallah) nyumbani kwa Mama Ummy bint Anzwani (Mdhamini wa CUF), Ngamiani Tanga, Uchaguzi Mkuu 1995.​
 
JUMA DUNI HAJI

Nilikutana na Juma Duni Haji kwa mara ya kwanza chumbani kwa Maalim Seif Starlight Hotel mwaka wa 1995 CUF ikiwa katika harakati za Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kurejeshwa vyama vingi.

Juma Duni alikuwa ndiyo kawasili kutoka masomoni Uingereza na kaja moja kwa moja akitokea uwanja wa ndege kuonana na Maalim.

Katika chumba kile kulikuwa na watu wengine pamoja na mimi.

Tulikuwa katika kikao kizito.

Maalim akatutambulisha kuwa Juma Duni ni mgombea wake mwenza Zanzibar.

Urafiki wangu na Juma Duni ulianzia hapo na siku ile.

Juma Duni yupo katika shajara zangu na katika maktaba yangu ya picha.

Nilikuwa nafatilia haya yaliyotokea na leo nilipoletewa taarifa kuwa kaliondoa jina lake katika kugombea nafasi ya uenyekiti sikushangaa.

Juma Duni Haji katoka mbali na harakati za ukombozi na kapita ndani ya tanuri la moto.

Juma Duni Haji anajua faida ya subra, ustahamilivu na nguvu ya umoja katika chama na ndani ya chama.

Juma Duni Haji kaona yote kwa macho yake na akiwa mchezaji wa duru la ndani.

Juma Duni Haji hajapata kuwa mchezea pembeni.

Juma Duni Haji kasaidia kukiongoza chombo hadi bandarini kwa salama na amani.

Haya ni mepesi ikiwa nia ni kuwapa ushindi wanachama na kuipa ushindi nchi yetu.

Leo ACT Wazalendo imeshinda na sote ni washindi.

Tumekuwa washindi siku zote.
Historia yetu inajieleza wenyewe.

Hakika kutoka 1995 hadi leo 2024 ni mwendo mrefu.

View attachment 2924664
Juma Duni Hajji akihutubia mkutano Korogwe
Uchaguzi Mkuu 1995 kushoto ni Akida Mbaruku Nyenga
View attachment 2924666
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba akihutubia mkutano wa kampeni Korogwe pembeni yake ni Juma Duni Haji.
View attachment 2924668
Kushoto: Mohamed Omari Mkwawa, Juma Duni Haji na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba nyumbani kwa Mama Ummy bint Anzuani, Ngamiani Tanga Mdhamini wa CUF Uchaguzi Mkuu 1995.
View attachment 2924669
View attachment 2924670
Prof. Lipumba na Juma Duni wakiwa White Rose Hotel Tanga, Uchaguzi Mkuu 1995.​
Duh sijawasikia wala kuwaona Wagalatia,Ustadhi kila sehemu waliojazana wavaa makubazi wewe upo.

Uongozi wa ACT kama Baraza la Ulama.
 
Kipindi cha jiwe uliufyata usingethubutu kusema we Cuf au ACT
Mdukuzi,
Mjadala unapendeza ikiwa tunajadiliana kwa adabu.

Tunakuwa na staha baina yetu.

Maneno "kufyata," hayapendezi kumwambia mtu.

Ni matusi.

Ungeweza kuniambia kuwa nisingeweza kusema mimi CUF nk.

Ungeeleweka.

Swali hili nimelijibu mara kadhaa kuwa mimi niko hapa kwa maandishi, sauti na picha nikitumia jina langu halisi.

Sijapatapo kujificha na sijajificha kuwa niliipigania CUF.

Fanya search utakuta makala zangu pamoja na picha.
 
JUMA DUNI HAJI

Nilikutana na Juma Duni Haji kwa mara ya kwanza chumbani kwa Maalim Seif Starlight Hotel mwaka wa 1995 CUF ikiwa katika harakati za Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kurejeshwa vyama vingi.

Juma Duni alikuwa ndiyo kawasili kutoka masomoni Uingereza na kaja moja kwa moja akitokea uwanja wa ndege kuonana na Maalim.

Katika chumba kile kulikuwa na watu wengine pamoja na mimi.

Tulikuwa katika kikao kizito.

Maalim akatutambulisha kuwa Juma Duni ni mgombea wake mwenza Zanzibar.

Urafiki wangu na Juma Duni ulianzia hapo na siku ile.

Juma Duni yupo katika shajara zangu na katika maktaba yangu ya picha.

Nilikuwa nafatilia haya yaliyotokea na leo nilipoletewa taarifa kuwa kaliondoa jina lake katika kugombea nafasi ya uenyekiti sikushangaa.

Juma Duni Haji katoka mbali na harakati za ukombozi na kapita ndani ya tanuri la moto.

Juma Duni Haji anajua faida ya subra, ustahamilivu na nguvu ya umoja katika chama na ndani ya chama.

Juma Duni Haji kaona yote kwa macho yake na akiwa mchezaji wa duru la ndani.

Juma Duni Haji hajapata kuwa mchezea pembeni.

Juma Duni Haji kasaidia kukiongoza chombo hadi bandarini kwa salama na amani.

Haya ni mepesi ikiwa nia ni kuwapa ushindi wanachama na kuipa ushindi nchi yetu.

Leo ACT Wazalendo imeshinda na sote ni washindi.

Tumekuwa washindi siku zote.
Historia yetu inajieleza wenyewe.

Hakika kutoka 1995 hadi leo 2024 ni mwendo mrefu.

View attachment 2924664
Juma Duni Hajji akihutubia mkutano Korogwe
Uchaguzi Mkuu 1995 kushoto ni Akida Mbaruku Nyenga
View attachment 2924666
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba akihutubia mkutano wa kampeni Korogwe pembeni yake ni Juma Duni Haji.
View attachment 2924668
Kushoto: Mohamed Omari Mkwawa, Juma Duni Haji na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba nyumbani kwa Mama Ummy bint Anzuani, Ngamiani Tanga Mdhamini wa CUF Uchaguzi Mkuu 1995.
View attachment 2924669
View attachment 2924670
Prof. Lipumba na Juma Duni wakiwa White Rose Hotel Tanga, Uchaguzi Mkuu 1995.​
Umeandika wasifu wa Duni Haji vipi kafariki?
 
JUMA DUNI HAJI

Nilikutana na Juma Duni Haji kwa mara ya kwanza chumbani kwa Maalim Seif Starlight Hotel mwaka wa 1995 CUF ikiwa katika harakati za Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kurejeshwa vyama vingi.

Juma Duni alikuwa ndiyo kawasili kutoka masomoni Uingereza na kaja moja kwa moja akitokea uwanja wa ndege kuonana na Maalim.

Katika chumba kile kulikuwa na watu wengine pamoja na mimi.

Tulikuwa katika kikao kizito.

Maalim akatutambulisha kuwa Juma Duni ni mgombea wake mwenza Zanzibar.

Urafiki wangu na Juma Duni ulianzia hapo na siku ile.

Juma Duni yupo katika shajara zangu na katika maktaba yangu ya picha.

Nilikuwa nafatilia haya yaliyotokea na leo nilipoletewa taarifa kuwa kaliondoa jina lake katika kugombea nafasi ya uenyekiti sikushangaa.

Juma Duni Haji katoka mbali na harakati za ukombozi na kapita ndani ya tanuri la moto.

Juma Duni Haji anajua faida ya subra, ustahamilivu na nguvu ya umoja katika chama na ndani ya chama.

Juma Duni Haji kaona yote kwa macho yake na akiwa mchezaji wa duru la ndani.

Juma Duni Haji hajapata kuwa mchezea pembeni.

Juma Duni Haji kasaidia kukiongoza chombo hadi bandarini kwa salama na amani.

Haya ni mepesi ikiwa nia ni kuwapa ushindi wanachama na kuipa ushindi nchi yetu.

Leo ACT Wazalendo imeshinda na sote ni washindi.

Tumekuwa washindi siku zote.
Historia yetu inajieleza wenyewe.

Hakika kutoka 1995 hadi leo 2024 ni mwendo mrefu.

View attachment 2924664
Juma Duni Hajji akihutubia mkutano Korogwe
Uchaguzi Mkuu 1995 kushoto ni Akida Mbaruku Nyenga
View attachment 2924666
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba akihutubia mkutano wa kampeni Korogwe pembeni yake ni Juma Duni Haji.
View attachment 2924668
Kushoto: Mohamed Omari Mkwawa, Juma Duni Haji na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba nyumbani kwa Mama Ummy bint Anzuani, Ngamiani Tanga Mdhamini wa CUF Uchaguzi Mkuu 1995.
View attachment 2924669
View attachment 2924670
Prof. Lipumba na Juma Duni wakiwa White Rose Hotel Tanga, Uchaguzi Mkuu 1995.​
Kwenye picha ya mwisho huyo jamaa wa pili kushoto ndiye yule alikuwa Mbunge wa Lindi Mjini?
 
Back
Top Bottom