TANGAZO KWA WADAU WAISHIO UK LA HARAMBEE KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO TANZANIA...!!! - JESTINA GEORGE
Bwana chris Lukosi mwanasiasa mahiri wa Chadema ambaye hata katiba ya chadema haifahamu.amekuja na gea mpya ya kukusanya Fedha za watanzania walioko Uingereza ili ziwe kwa ajili ya Vifo.
lukosi mapema mwaka huu alitangaza harambee kwa watanzania ya kukusanya vifaa na pesa nyingi tu kwa ajili ya wahanga wa mafuriko ya jangwani. hadi sasa MWAKA unakatika hajakabishi pesa wala vifaa mbali mbali alivyokusanya.anatutia mashaka makubwa.
chadema wamekosa mtu kiasi cha kuota misheni town wa uingereza kuongoza chama chao?
Watanzania mnaotaka kuibiwa tena kwa mgongo wa vifo ulizeni kwanza uadilifu wa bwana chris.atueleze fedha na mizigo ile amepeleka wapi?
Bwana chris Lukosi mwanasiasa mahiri wa Chadema ambaye hata katiba ya chadema haifahamu.amekuja na gea mpya ya kukusanya Fedha za watanzania walioko Uingereza ili ziwe kwa ajili ya Vifo.
lukosi mapema mwaka huu alitangaza harambee kwa watanzania ya kukusanya vifaa na pesa nyingi tu kwa ajili ya wahanga wa mafuriko ya jangwani. hadi sasa MWAKA unakatika hajakabishi pesa wala vifaa mbali mbali alivyokusanya.anatutia mashaka makubwa.
chadema wamekosa mtu kiasi cha kuota misheni town wa uingereza kuongoza chama chao?
Watanzania mnaotaka kuibiwa tena kwa mgongo wa vifo ulizeni kwanza uadilifu wa bwana chris.atueleze fedha na mizigo ile amepeleka wapi?