Watu waliohudhuria mkutano wa chadema london ni 10 pamoja na matangazo yote ya Blog ya MJENGWA ambayo imekuwa kama gazeti la Tanzania daima.sasa hivi chris lukosi anasema kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi wa jana.walioshiri ni watu 10. jee alishindana na nani hadi akawa mwenyekiti?alipata kura ngapi na mpinzani wake alipata ngapi?
hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza.
Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.
hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza.
Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.
chris na viongozi wote wa chadema london hawakuchaguliwa...wameteuliwa ili kukiongoza chama kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi chadema ndio kwanza wametia timu hapa London hivyo lazima kuwe na watu watakaokuwa wanaact kama viongozi wa mpito ili kuendesha shughuli za kuratibu mambo yote yanayokihusu kwa ulaya