Mwenyekiti wa CHADEMA - London kachaguliwa kwa kigezo gani?

Bull

JF-Expert Member
Nov 4, 2008
1,094
253
Watu waliohudhuria mkutano wa chadema london ni 10 pamoja na matangazo yote ya Blog ya MJENGWA ambayo imekuwa kama gazeti la Tanzania daima.sasa hivi chris lukosi anasema kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi wa jana.walioshiri ni watu 10. jee alishindana na nani hadi akawa mwenyekiti?alipata kura ngapi na mpinzani wake alipata ngapi?
hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza.
Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.
chris na viongozi wote wa chadema london hawakuchaguliwa...wameteuliwa ili kukiongoza chama kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi chadema ndio kwanza wametia timu hapa London hivyo lazima kuwe na watu watakaokuwa wanaact kama viongozi wa mpito ili kuendesha shughuli za kuratibu mambo yote yanayokihusu kwa ulaya
 
maeneo waliyofanyia mkutano wao wanaishi watu wengi kutoka visiwani zanzibar, kitendo chao cha kupeleka mkutano BAR ndicho kilipelekea kukosa watu, na hasa hii kasumba ya ukristo, waislam wanakiokopa chama hicho.
 
maeneo waliyofanyia mkutano wao wanaishi watu wengi kutoka visiwani zanzibar, kitendo chao cha kupeleka mkutano BAR ndicho kilipelekea kukosa watu, na hasa hii kasumba ya ukristo, waislam wanakiokopa chama hicho.


Nijuavyo mimi, wazanzibari wengi wanaoishi London ni wapemba, na wako close zaidi ya CUF unless wamebadili msimamo 'jana usiku'. Lakini pia tuwe realistic, kwa sasa Zanzibar wako busy na harakati za kuachana na 'mkoloni Tanganyika' kwa hiyo madai ya venue, mara number of participants ni visingizio.
 
Nijuavyo mimi, wazanzibari wengi wanaoishi London ni wapemba, na wako close zaidi ya CUF unless wamebadili msimamo 'jana usiku'. Lakini pia tuwe realistic, kwa sasa Zanzibar wako busy na harakati za kuachana na 'mkoloni Tanganyika' kwa hiyo madai ya venue, mara number of participants ni visingizio.
Halafu unamsikia anafanya kila juhudi kupiga tarumbeta ya kidini!! Eti hicho chama wanakiogopa waislam, kwani London ni mji wa waislamu, mbona walikimbilia huko kama walitaka kuishi waislamu peke yao? hebu wanaojificha kwenye hizi dini msizozijuwa kuweni na fikra pana zaidi!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
chris na viongozi wote wa chadema london hawakuchaguliwa...wameteuliwa ili kukiongoza chama kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi
chadema ndio kwanza wametia timu hapa London hivyo lazima kuwe na watu watakaokuwa wanaact kama viongozi wa mpito ili kuendesha shughuli za kuratibu mambo yote yanayokihusu kwa ulaya
nikuulize swali,hivi ukienda kusajiri chama kwa tendwa ukajiandika kuwa wewe ni mwenyekiti na mkeo ni katibu..hivi huwa mnakuwa mmechaguliwa na wanachama gani?
tuwape muda hawa viongozi wa mpito na sio kuja na hoja za kitoto hapa
 
Kuna watu walikuwa wanataka hako kanafasi watafute kutoka kimaisha kama mleta mada...umeumbuka.
 
Hatuangalii wingi wa watu waliojitokeza bali tunaangalia kilichozungumzwa kina manufaa gani kwa Tanzania. Ni hekima kubwa kutokubaliana na wengi wenye makosa, na ukasimama pekee yako kwenye ukweli. Wingi si tija hata kidogo.
 
Chadema kinatakiwa kujijenga hapa nyumbani kuanzia grassroot level,then kiende ulaya.so long hao wa nje sio reflection ya maisha halisi ya mtanzania
 
Watu waliohudhuria mkutano wa chadema london ni 10 pamoja na matangazo yote ya Blog ya MJENGWA ambayo imekuwa kama gazeti la Tanzania daima.sasa hivi chris lukosi anasema kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi wa jana.walioshiri ni watu 10. jee alishindana na nani hadi akawa mwenyekiti?alipata kura ngapi na mpinzani wake alipata ngapi?
hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza.
Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.

Atakuwa kachaguliwa na wenzake 10 ukiwemo kama ulikuwepo na kama hukuwepo kelele za nini hadi utake kujua nani walio mchagua ?Hebu waache wenye nia waendelee na kama ni wachumia tumbo soon watajulikana lakini kwa sasa waacheni wachape kazi .Hata hivyo wewe na wenzako wa UK kwa sasa si wapiga kura na siasa zenu ni za JF pekee wenzeni tuko JF na polisi tunakumbana nao .
 
Chadema kinatakiwa kujijenga hapa nyumbani kuanzia grassroot level,then kiende ulaya.so long hao wa nje sio reflection ya maisha halisi ya mtanzania

Duh!!! kazi ipo kweli kuelimisha jamii. nchi nyingine raia wao wanapiga kura japokuwa hawapo inchini mwao je hawareflect jamii yao? Hivi unaweza kusema hivyo kweli kipindi hichi cha utandawazi?
 
Watu waliohudhuria mkutano wa chadema london ni 10 pamoja na matangazo yote ya Blog ya MJENGWA ambayo imekuwa kama gazeti la Tanzania daima.sasa hivi chris lukosi anasema kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi wa jana.walioshiri ni watu 10. jee alishindana na nani hadi akawa mwenyekiti?alipata kura ngapi na mpinzani wake alipata ngapi?
hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza.
Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.


Jana ilikuwa siku ya Jumatatu na wengi wetu tunajua huko majuu watu hawako kama Manzese au Kariakoo kukiwa na tukio watu watajaza hata kukosa pa kupenya, kumbe kupotea njia kwa mwendesha bodaboda au kibabaja kuparamia tuta.

Majuu ni box tu mtindo mmoja, kwani hii mikutano italipa bills? Mikutano majuu ukitaka ipate wahudhuriaji iwe siku za weekend na mapumzikko, la sivyo tegemea kupata wahudhuriaji kama kamati au kongamano, lakini kama mkutano jamaa kubeba box ndio jambo la kwanza. Huko dakika 7 umechelewa kazini unakatwa umekosa robo saa si kama bongo jamaa anaenda lunch na kuunganisha sokoni, kisha kijiweni siku imepita mshahara dinari ile ile moja.

Juu ya kumpata mwenyekiti, waliohudhuria sishangai kama waliamua kumchagua Mwenyekiti, kwani bila kuwapo na kiongozi hakutakuwa na mwenye kuwahamasisha na kuwaunganisha. Mwanzoni ni jambo la kawaida na baadaye wakishaongezeka hitaji la kura za kikatiba ni wajibu.
 
Watu waliohudhuria mkutano wa chadema london ni 10 pamoja na matangazo yote ya Blog ya MJENGWA ambayo imekuwa kama gazeti la Tanzania daima.sasa hivi chris lukosi anasema kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi wa jana.walioshiri ni watu 10. jee alishindana na nani hadi akawa mwenyekiti?alipata kura ngapi na mpinzani wake alipata ngapi?
hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza.
Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.

Mkuu mbona unaenda mbali sana?

Hapo kwenye RED naona umeruka juu mno.

Nini hasa kinakusumbua?
 
Watu waliohudhuria mkutano wa chadema london ni 10 pamoja na matangazo yote ya Blog ya MJENGWA ambayo imekuwa kama gazeti la Tanzania daima.sasa hivi chris lukosi anasema kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi wa jana.walioshiri ni watu 10. jee alishindana na nani hadi akawa mwenyekiti?alipata kura ngapi na mpinzani wake alipata ngapi?
hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza.
Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.

Magamba daima hawajifichi. Wewe umejiunga hapa leo kwa ajili ya kuleta uzi huu tu? Pole

Tiba
 
Chadema kinatakiwa kujijenga hapa nyumbani kuanzia grassroot level,then kiende ulaya.so long hao wa nje sio reflection ya maisha halisi ya mtanzania
HATA WALIOKO UKO NI SAWA TU, il mradi wanaunga mkono chama. Usemalo mkuu n sawa chama kianzie toka grassroots hapahapa nchini na jee waliopo mbali wasichaguane ili kwenda kimkakati? I think is also ok let them continue! lets do also what is required while in the country.
 
Wazanzibar Mwende CUF
I think yeyote anayejiunga na chama cha wazalendo kama hiki (Chadema) ajiunge ila akiwa mnafiki basi ni bora aende hukoooo CCM. Tunataka wanaoionea huruma Tanzania.
chama hakina ubaguzi kwa mtanzania regardless katoka zenji/bara
 
I think yeyote anayejiunga na chama cha wazalendo kama hiki (Chadema) ajiunge ila akiwa mnafiki basi ni bora aende hukoooo CCM. Tunataka wanaoionea huruma Tanzania.
chama hakina ubaguzi kwa mtanzania regardless katoka zenji/bara[/QUOTE


Dr.slaa anadaiwa na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kiasi cha tsh.Million 140 ambazo hazifahamiki zitarudishwaje hadi hii leo.

Mchanganuo wa deni hili ni kama ifuatavyo...

1.Dr.slaa alikopa fedha kiasi cha tsh.Million 80 kwaajili ya kumalizia malipo ya deni la nyumba ya NSSF aliyokopeshwa maeneo ya bunju....Fedha hizi zilikopeshwa tangu mwaka juzi.Ilihali nyumba ile ya bunju na Karatu zilizojengwa na Dr.slaa zinamilikiwa na Bi.Josephine Mshumbusi hii nikwamujibu wa hati ya nyumba kama inavyosomeka kwenye wamiliki wa nyumba za NSSF .

2.Pili alichukua pesa million 40 za chama zilizotengwa kwaajili ya uchaguzi mwaka 2015 fedha hizo ni zile zilizokuwa zikichangiwa na wabunge wa chadema kila mwezi kama walivyokubalina na kamati kuu mapema baada ya uchaguzi(kwenye kikao cha evaluation ya uchaguzi mwaka 2010).sakata hili limepelekea baadhi ya wabunge kugoma kuendelea kuchangia mfuko wa chama na hivi majuzi huko bungeni dodoma kwenye vikao vya chama vya ndani wabunge walisimamia kidete swala hili la kumtaka Dr.slaa alipe deni hilo ili arejeshe imani kwa wabunge kuendelea kuchangia.
Fedha hizo, Dr.slaa alizielekeza kwenda kununulia samani za ndani za nyumbani kwake.Fedha hizi hazikupitia taratibu halali za kukopeshwa kwa sababu alijikopesha ruzuku ya chama (kitu ambacho ni illigeal kwenye katiba ya chama ruzuku)

4.Mnamo Tar:20 mwezi wa 1 mwaka huu Dr.slaa alifika makao makuu na kuomba kukopeshwa kiasi cha tsh.Million 20 za haraka huku akiwa ameambatana na Josephine mshumbusi.Aliwalazimu wahazini kwenda kuchota fedha kwenye account ya chama siku hiyohiyofedha zile alikabidhiwa Josephine mshumbusi ambaye alizichenji kwenda dola na kuziingiza kwenye account yake(jina tunalihifadhi la account)


SAKATA HILI LA DENI LA DR.SLAA limechukua sula tofauti kabisa kwa mwenyekiti wa chama Mh.Freeman Aikael Mbowe ambaye amemtaka Dr.slaa kurejeshaa deni hilo mapema iwezekanavyo..kwa sababu deni hilo limeshaanza kuwagawa wabunge ndani ya chama.Kwa hatua za awali Mwenyekiti wa chama ameamua kukabidhi madaraka ya mapato na matumizi kwa Lema ilikuajaribu kukinusuru chama.

NASISITIZA HII LEO TAR.8/8/2012 WABUNGE WA CHADEMA BAADHI WAMEGOMA KWENDA KWENYE MKUTANO WALEO UNAOFANYIKA MAENEO YA IFAKARA SABABBU IKIWA NI HII HII YA KUIBIWA FEDHA ZAO

IKUMBUKWE WAZI KWAMBA FEDHA ZOTE ANAZO DAIWA DR.SLAA HAZIKUPITIA UTARATIBU HUSIKA WA CHAMA WA KUKOPESHA WAFANYAKAZI WAKE, NI MWAVULI WA UKATIBU MKUU NDIO ULIOPELEKEA KUCHUKUA MAAMUZI YA KUWAFORCE KURUGENZI YA FEDHA KUMKOPESHA FEDHA HIZO.Barua ya kuwafukuza wafanyakaiz kadhaa wanaompinga ndnai ya chama ipo na inascaniwa iletwe hapa,



Samahan mkuu huyu Babu naye ni Mzalendo?
 
Back
Top Bottom