peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,828
- 21,460
Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!