Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Mwenge ulipofika kijiiji cha Chamakinchanga Mtwara ikawa hivi.
Mkuu wa Msafara: Sasa tunamkaribisha Mwenyekiti wa kijiji Ndugu Nachinunku apande jukwaani kutoa salamu za mwenge.
Mwenyekiti: Hapo Mwenyekiti akapanda jukwaani akapewa kipaza sauti na kusema: Chikamoo Mwenge!
Mungu ni mwema sana.
Mkuu wa Msafara: Sasa tunamkaribisha Mwenyekiti wa kijiji Ndugu Nachinunku apande jukwaani kutoa salamu za mwenge.
Mwenyekiti: Hapo Mwenyekiti akapanda jukwaani akapewa kipaza sauti na kusema: Chikamoo Mwenge!
Mungu ni mwema sana.