Mkweche, injini itakuwa ishakufa hiyo naona mis zinakuwa nyingi.
Kuna kitu kinaniambia kuwaJanuary Makamba hakusema aliyosema jana kwa sababu ya kutaka kutatua tatizo la umeme, bali huo ni mpango wake wa kutaka kung'ara na pengine kupata nafasi kwenye baraza la mawaziri. Huyu kijana alikuwa mshauri wa Rais Kikwete kwa miaka mitano, alifanya nini au alimshauri vipi Rais kutatua tatizo la umeme? Why now anaonekana kulivalia njuga swala la umeme na sio wakati akiwa Ikulu sehemu ambayo naamini ndio chimbuko la matatizo yote tuliyonayo? Na mara January alipopata uenyekiti wa kamati ya Nishati alijigeuza kuwa 'msemaji' wengine walimuita 'dalali' wa Dowans!
Kwa maoni yangu, Ngeleja anaweza na naamini ana mapungufu yake lakini January hana track-record ya kuaminika kwenye issue ya umeme hapa nchini. Sanasana naweza kusema anaonesha tabia ya 'work-colleagues' wenye tabia ya kuwavizia wenzio kwa kuanika kila kosa ili mradi tu wao wang'are na pengine kupanda cheo! Dangerously ambitious!
Pumba. tangu lini makamba akawa mshauri wa rais. Akiwa mwenyekiti wa nishati na amdini unataka akae kimya tu ili akufurahishe hata kama mambo yanaenda kombo. Wewe utakuwa Zezeta.Kuna kitu kinaniambia kuwaJanuary Makamba hakusema aliyosema jana kwa sababu ya kutaka kutatua tatizo la umeme, bali huo ni mpango wake wa kutaka kung'ara na pengine kupata nafasi kwenye baraza la mawaziri. Huyu kijana alikuwa mshauri wa Rais Kikwete kwa miaka mitano, alifanya nini au alimshauri vipi Rais kutatua tatizo la umeme? Why now anaonekana kulivalia njuga swala la umeme na sio wakati akiwa Ikulu sehemu ambayo naamini ndio chimbuko la matatizo yote tuliyonayo? Na mara January alipopata uenyekiti wa kamati ya Nishati alijigeuza kuwa 'msemaji' wengine walimuita 'dalali' wa Dowans!
Kwa maoni yangu, Ngeleja anaweza na naamini ana mapungufu yake lakini January hana track-record ya kuaminika kwenye issue ya umeme hapa nchini. Sanasana naweza kusema anaonesha tabia ya 'work-colleagues' wenye tabia ya kuwavizia wenzio kwa kuanika kila kosa ili mradi tu wao wang'are na pengine kupanda cheo! Dangerously ambitious!
huwezi kuchukua notes kama type writer, kumbuka hata madereva ni washauri wazuri tuMheshimiwa FJM, January Makamba hakuwa mshauri wa Rais Kikwete, yeye alikuwa ni Personal Assistant to the President – Special Duties (PAP-SD) na kama presidential aide, kazi yake pia ilikuwa kukaa na kuchukua notes wakati Rais anaongea/kukutana na dignitaries
Katika context ya post yako, yupi ni Mzee?jamani ,nyonge mnyongeni haki yake mpeni!! ngeleja ana uwezo wa kuchapana mangumi na walinzi wa ATM tu hana uwezo wa upstairs kama january!
ukichunguza kuna disparity kubwa kati ya wazee na vijana yanapokuja masuala ya maslahi ya taifa!
anatafuta uwaziri huyo, hata ngeleja si mzee ccm lao mojajamani ,nyonge mnyongeni haki yake mpeni!! Ngeleja ana uwezo wa kuchapana mangumi na walinzi wa atm tu hana uwezo wa upstairs kama january! Ukichunguza kuna disparity kubwa kati ya wazee na vijana yanapokuja masuala ya maslahi ya taifa!
Jana kamati ya Nishati na Madini ilitoa hotuba yake kuhusu swala zima la Hali ya Umeme nchini!
Hadi mzee mbowe akatamani Mwana-Makamba angekuwa CDM!