Mwenyekiti January Makamba amemkuna kamanda Mbowe kwa mchango wa kamati yake

ndani ya baraza la mawaziri waziri makini yuko mmoja tu mhe pombe magufuli yule mama alijaribu kuja juu na kuvunja kuta za watu yuko wapi au likizo mamawa mazingira, viwanja vya wazi vinaporwa na kujengwa lakini wap kimyaviwanja vya shule vinavyamiwa, wapi kimya magambo magamba iposiku inakuja na si nyingi mtakaaa kama chama cha wapinzani na mtajibu,nyumba za serikali mmejiuzia ostabey iliyokuwa inaheshiimika kila nyumba nibar na gyst bubu inauma sana lakini tunasema madikiteta wengi wanashitakiwa ipo siku itafika na kuna MUNGU asiyependa dhuluma MUNGU siyo wa mafisaditu kama mnavyotaka na kukiita chama chenu chama cha MUNGU ipo siku ipo karibu,kiikupacho raha na uchungu kitakupa
Magufuli, msimamizi mkuu uuzaji nyumba za serikali.
 
Nyumba zitarudi, bunge lijalo baada ya hili litahakikisha nyumba zote lazima zirudi huo ulikuwa wizi wa mchana, nafikiri hata walionunua wanajua ni wapangaji tu! Soon zitarudi nyumba zetu
 
Kuna kitu kinaniambia kuwaJanuary Makamba hakusema aliyosema jana kwa sababu ya kutaka kutatua tatizo la umeme, bali huo ni mpango wake wa kutaka kung'ara na pengine kupata nafasi kwenye baraza la mawaziri. Huyu kijana alikuwa mshauri wa Rais Kikwete kwa miaka mitano, alifanya nini au alimshauri vipi Rais kutatua tatizo la umeme? Why now anaonekana kulivalia njuga swala la umeme na sio wakati akiwa Ikulu sehemu ambayo naamini ndio chimbuko la matatizo yote tuliyonayo? Na mara January alipopata uenyekiti wa kamati ya Nishati alijigeuza kuwa 'msemaji' wengine walimuita 'dalali' wa Dowans!

Kwa maoni yangu, Ngeleja anaweza na naamini ana mapungufu yake lakini January hana track-record ya kuaminika kwenye issue ya umeme hapa nchini. Sanasana naweza kusema anaonesha tabia ya 'work-colleagues' wenye tabia ya kuwavizia wenzio kwa kuanika kila kosa ili mradi tu wao wang'are na pengine kupanda cheo! Dangerously ambitious!

Kwahiyo mtu akiwa "Mshauri wa Raisi Hotuba" basi kazi yake pia ni kumshauri Rais kuhusu umeme? January analaumiwa kwa kutomshauri Rais katika kila jambo, utadhania pale Ikulu alikuwa ndiye Chief Secretary au Waziri Mkuu! Ukuwadi aliufanyia Dowans ni upi? Aliposema kwamba ni ujinga kwamba tuna mtambo umekaa tu hautumiki wakati tupo kwenye mgao, na kwamba tutafute namna ya kuutumia bila kuadhiri kesi zilizopo? That was just common sense. Ni wewe tu ambaye unatazama suala hilo kwenye mpini wa kisiasa utalichukulia kuwa ni ukuwadi!

Hii ni chuki tu na roho ya kwanini. Huyu kijana anafanya kazi, tatizo haters wengi hampendi kwamba anapanda chati mbele ya wananchi, kutwa kila siku kumchafua hapa JF kwa kumzushia scandals. Mnaishi na wasiwasi mkitetea makuwadi wenu wenye ndoto za Urais badala ya kuwashauri na wao kuchapa kazi na kujituma kama January.
 
si wewe wa kwanza kulilia kukubalika na mbowe, hata JK, magufuli na wassira huwa hawakosi kulilia attention ya mbowe ili siku yao iwe njema... Mnanchukia sana mbowe ila hamuwezi ishi bila yeya na Slaa.Lazima mjipitishe..kuonyesha kuwa mnawakubali na kuwafanya vipimo vya mafanikio yenu
 
Back
Top Bottom