Hebu fikiria uko nyumbani kwako. Umezeeka na una wajukuu. Mkeo kafariki au kakukimbia. Unapata mke mwingine. Anapika chakula. Wageni wamekuja. Mke wako, jamaa zako na wanao wanawakarimu.
Chakula kinaliwa chote na wewe hukupata hata tonge. Na hili linaendelea kila siku. Inakulazimu kukwangua vyungu upate matandu. Ndiyo unayoishia.
Usiende mbali. Hii si hadithi. Ndio hali halisi ya Watanzania. Mke mpya ni uongozi mpya. Jamaa ni maafisa wa chama tawala na serikali. Watoto ni wake na watoto zao.
Mzee ndie wananchi wa Tanzania. Je, hali kama hii, utaishughulikia vipi mwenzetu!!!!
Chakula kinaliwa chote na wewe hukupata hata tonge. Na hili linaendelea kila siku. Inakulazimu kukwangua vyungu upate matandu. Ndiyo unayoishia.
Usiende mbali. Hii si hadithi. Ndio hali halisi ya Watanzania. Mke mpya ni uongozi mpya. Jamaa ni maafisa wa chama tawala na serikali. Watoto ni wake na watoto zao.
Mzee ndie wananchi wa Tanzania. Je, hali kama hii, utaishughulikia vipi mwenzetu!!!!