Mwenye nyumba anaponyimwa chakula na mkewe!

Iga

Senior Member
Dec 17, 2007
112
6
Hebu fikiria uko nyumbani kwako. Umezeeka na una wajukuu. Mkeo kafariki au kakukimbia. Unapata mke mwingine. Anapika chakula. Wageni wamekuja. Mke wako, jamaa zako na wanao wanawakarimu.

Chakula kinaliwa chote na wewe hukupata hata tonge. Na hili linaendelea kila siku. Inakulazimu kukwangua vyungu upate matandu. Ndiyo unayoishia.

Usiende mbali. Hii si hadithi. Ndio hali halisi ya Watanzania. Mke mpya ni uongozi mpya. Jamaa ni maafisa wa chama tawala na serikali. Watoto ni wake na watoto zao.

Mzee ndie wananchi wa Tanzania. Je, hali kama hii, utaishughulikia vipi mwenzetu!!!!
 
Hebu fikiria uko nyumbani kwako. Umezeeka na una wajukuu. Mkeo kafariki au kakukimbia. Unapata mke mwingine. Anapika chakula. Wageni wamekuja. Mke wako, jamaa zako na wanao wanawakarimu.

Chakula kinaliwa chote na wewe hukupata hata tonge. Na hili linaendelea kila siku. Inakulazimu kukwangua vyungu upate matandu. Ndiyo unayoishia.

Usiende mbali. Hii si hadithi. Ndio hali halisi ya Watanzania. Mke mpya ni uongozi mpya. Jamaa ni maafisa wa chama tawala na serikali. Watoto ni wake na watoto zao.

Mzee ndie wananchi wa Tanzania. Je, hali kama hii, utaishughulikia vipi mwenzetu!!!!

Ingekuwa ni kisa cha kwenye familia halisi ningekuambia kuwa unaposikia fainali ni uzeeni hiyo ndio maana yake.Kama ujanani mwako ulikuwa mbinafsi utarajie mateso uzeeni.Ila kwa hili la nchi sielewi.Labda kama huyo mzee bado ana nguvu basi amfukuze mke mpya abaki mwenyewe akijipikilisha na kujilia vyake tartiibuuu.
 
Hebu fikiria uko nyumbani kwako. Umezeeka na una wajukuu. Mkeo kafariki au kakukimbia. Unapata mke mwingine. Anapika chakula. Wageni wamekuja. Mke wako, jamaa zako na wanao wanawakarimu.

Chakula kinaliwa chote na wewe hukupata hata tonge. Na hili linaendelea kila siku. Inakulazimu kukwangua vyungu upate matandu. Ndiyo unayoishia.

Usiende mbali. Hii si hadithi. Ndio hali halisi ya Watanzania. Mke mpya ni uongozi mpya. Jamaa ni maafisa wa chama tawala na serikali. Watoto ni wake na watoto zao.

Mzee ndie wananchi wa Tanzania. Je, hali kama hii, utaishughulikia vipi mwenzetu!!!!

Sishangai hata kidogo katika hili, kwa sababu nimewahi shuhudia kwa macho yangu mama mwenye nyumba tena ni mke wa ndoa aliyejaliwa watotot kibao na wajukuu akimyima mumewe chakula na hata sabuni ya kufulia nguo, watoto nao wakubwa na akili zao wanashabikia eti baba yao enzi zake alipokuwa nazo alimyanyasa mkewe.
Hao ndio wabongo halisia. ...... Mkono mtupu haulambwi
 
Hebu fikiria uko nyumbani kwako. Umezeeka na una wajukuu. Mkeo kafariki au kakukimbia. Unapata mke mwingine. Anapika chakula. Wageni wamekuja. Mke wako, jamaa zako na wanao wanawakarimu.

Chakula kinaliwa chote na wewe hukupata hata tonge. Na hili linaendelea kila siku. Inakulazimu kukwangua vyungu upate matandu. Ndiyo unayoishia.

Usiende mbali. Hii si hadithi. Ndio hali halisi ya Watanzania. Mke mpya ni uongozi mpya. Jamaa ni maafisa wa chama tawala na serikali. Watoto ni wake na watoto zao.

Mzee ndie wananchi wa Tanzania. Je, hali kama hii, utaishughulikia vipi mwenzetu!!!!

Kwa kweli hatuwezi jua ni nini kilichomkera huyo bibie mpaka afanye hivyo ila yote haya ni hutukona na tabia aliyokuwa nayo huyo baba toka awali. Huu ndo mda wake wakuvuna alichopanda.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom