Mwenye Nyumba ameleta mganga wa kienyeji anatulazimisha tulambe unga anahisi kuna mchawi kwenye nyumba yake

Mwenye nyumba ana tabia za kuwafanya wapangaji wake chuma ulete kimazingira na inavyoonekana kuna mpangaji aliyeingia hapo na ana nguvu kinzani na huyo mzee mwenye nyumba. Kuna watu wanapangisha nyumba moja tokea umri wa ujana hadi uzee, na si kwamba hiyo nyumba ina mazingira au huduma bora.
 
Habarini ndugu wanaJF,

Baba mwenye nyumba amemleta mganga kutoka kusini huko anadai kwenye nyumba yake kuna mtu anamchezea (mambo ya kichawi), sasa anatulazimisha tulambe ungaunga mweupe nimesikia wanauita 'usembe' ili kumbaini mchawi kwenye nyumba yake.

Binafsi nilikataa kulamba vitu visivyoeleweka na sina hizo imani, ila alinichimba mkwala hadi jtano nimpe jibu nikishindwa nihame kwake.

Dhumuni la kuleta hili jambo kwenu mnipe ushauri wa kufanya sababu alinipa siku tatu ambayo ya mwisho ndio leo na hapa nipo job nafikiria nikirudi home nimpe jibu gani.

Kwa kuongezea tumebaki wapangaji wawili ambao tumekataa kulamba hayo madude yake.

Je, yana madhara yoyote kiafya wataalam wa mambo?
Akurudishie pesa iliyobaki usepe,atakulambishaje vitu huvijui!?
 
Nenda ofisi za ustawi wa jamii,hizo ndo kazi zao .Kwanza lazima awe na kibali cha kufanya kazi ya uganga,pili lazima apitie serikali ya mtaa husika.Je yote yamegfanyika?Kama hayajafanyika karipoti ustawi wa jamii watakaupa msaada.
Mwisho jipange kuhama
 
Habarini ndugu wanaJF,

Baba mwenye nyumba amemleta mganga kutoka kusini huko anadai kwenye nyumba yake kuna mtu anamchezea (mambo ya kichawi), sasa anatulazimisha tulambe ungaunga mweupe nimesikia wanauita 'usembe' ili kumbaini mchawi kwenye nyumba yake.

Binafsi nilikataa kulamba vitu visivyoeleweka na sina hizo imani, ila alinichimba mkwala hadi jtano nimpe jibu nikishindwa nihame kwake.

Dhumuni la kuleta hili jambo kwenu mnipe ushauri wa kufanya sababu alinipa siku tatu ambayo ya mwisho ndio leo na hapa nipo job nafikiria nikirudi home nimpe jibu gani.

Kwa kuongezea tumebaki wapangaji wawili ambao tumekataa kulamba hayo madude yake.

Je, yana madhara yoyote kiafya wataalam wa mambo?
Toa taarifa kwa mwenyekiti wa mtaa halafu polisi. Hawezi kukufukuza kirahisi.
 
Habarini ndugu wanaJF,

Baba mwenye nyumba amemleta mganga kutoka kusini huko anadai kwenye nyumba yake kuna mtu anamchezea (mambo ya kichawi), sasa anatulazimisha tulambe ungaunga mweupe nimesikia wanauita 'usembe' ili kumbaini mchawi kwenye nyumba yake.

Binafsi nilikataa kulamba vitu visivyoeleweka na sina hizo imani, ila alinichimba mkwala hadi jtano nimpe jibu nikishindwa nihame kwake.

Dhumuni la kuleta hili jambo kwenu mnipe ushauri wa kufanya sababu alinipa siku tatu ambayo ya mwisho ndio leo na hapa nipo job nafikiria nikirudi home nimpe jibu gani.

Kwa kuongezea tumebaki wapangaji wawili ambao tumekataa kulamba hayo madude yake.

Je, yana madhara yoyote kiafya wataalam wa mambo?
Dah! Balaa hii
 
Habarini ndugu wanaJF,

Baba mwenye nyumba amemleta mganga kutoka kusini huko anadai kwenye nyumba yake kuna mtu anamchezea (mambo ya kichawi), sasa anatulazimisha tulambe ungaunga mweupe nimesikia wanauita 'usembe' ili kumbaini mchawi kwenye nyumba yake.

Binafsi nilikataa kulamba vitu visivyoeleweka na sina hizo imani, ila alinichimba mkwala hadi jtano nimpe jibu nikishindwa nihame kwake.

Dhumuni la kuleta hili jambo kwenu mnipe ushauri wa kufanya sababu alinipa siku tatu ambayo ya mwisho ndio leo na hapa nipo job nafikiria nikirudi home nimpe jibu gani.

Kwa kuongezea tumebaki wapangaji wawili ambao tumekataa kulamba hayo madude yake.

Je, yana madhara yoyote kiafya wataalam wa mambo?
Kama unatoka, si atakurudishia kodi? Utahangaika kupata sehemu nyingine, ila hutashiriki uchawi wake. Haya mambo yafaa yapigwe marufuku Tz.
 
Madam kuoga uchi, kumwaga dawa sisi haituhusu kama nyumba YAKO, tunachokataa ni KULAMBA UNGA. Chuo tulikaa na mmama huyo mwenye nyumba yule mama hata awaone mnafanya mapenzi uwani hawasemeshi ILA kodi YAKe ikifika msitafutane😑😑 tunakaataa KULAMBA UNGA
Umesoma nilicho jb lkn? Wapi nimesema alambe unga!?
 
Back
Top Bottom