Mwenye neno lolote aniambie japo kupoza akili yangu

Azimio la kazi

Senior Member
Jun 7, 2023
138
451
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.

Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.

Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.

Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.

Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.

Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.

Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.

Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
 
Ni matumaini Yangu kuwa wote ni wazima.
Niende kwenye mada moja Kwa Moja.
Mm ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo Chuo moja kikuu apa Tanzania jijini dar es salaam nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.
Natoka katika familia ya kawaida sana Yenye jumla ya watoto tisa Huku mm ni wakwanza yaan first born.
Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufup familia na wadogo zangu nane wananitazama mm kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msomgo mkali sana wa mawazo. Nawaza sana mwakan takapo maliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.
Nili bahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakn kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbil nusu na Baki nayo nusu natuma nyumbani.
Wana bodi nahis maneno haya hayawEzi eleza na cho taka kufikisha kwenu.
Na umri mdogo lkan sonona nahis inanitafuna.
Nataman nikimbilie south Africa kujariby bahati yangu.


Muwe na asubuh njema apa nipo njian naelekea shule maan tupo Field lakn AKil haipo Sawa
i feel it. Hakika maisha yanatuonyesha kila rangi
 
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.

Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.

Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.

Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.

Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.

Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.

Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.

Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Kama ukiweza kumwona kabla ya kwenda SOUTH itakusaidia Cc@Mwigulu nchemba
 
Maisha hayajawahi kua marahisi ila kama chuo unachosoma kina vipindi vya jioni kwa waliopo makazini ni bora uswitch kutoka full time kwenda TNC then mchana unatafuta pa kujibanza jion unazama chuo!

Uzuri wake mnasoma mda mfupi lkn pia kusoma na wale waliopo kazini ni rahis wakakuonesha njia ya kutokea maana wana uzoefu mzur mtaani
 
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.

Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.

Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.

Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.

Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.

Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.

Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.

Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Ukimaliza chuo,nenda veta kozi fupi ya ufundi yakukuweka mtaani,ukishindwa jifunze hata kupaka kucha na kubandika

Kama una kichwa kizuri ndani ya wiki moja ushajua,ukiongozana na wale chinga,na mtaji wake ni chini ya laki moja
 
Matatizo y
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.

Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.

Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.

Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.

Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.

Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.

Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.

Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.tumeumbiwa wat

Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.

Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.

Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.

Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.

Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.

Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.

Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.

Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Heri Yako una miguu unatamani kupata viatu.

Kuna watu wanatamani wawe na miguu ilinwaweze kutembea
 
Maisha hayajawahi kua marahisi ila kama chuo unachosoma kina vipindi vya jioni kwa waliopo makazini ni bora uswitch kutoka full time kwenda TNC then mchana unatafuta pa kujibanza jion unazama chuo!

Uzuri wake mnasoma mda mfupi lkn pia kusoma na wale waliopo kazini ni rahis wakakuonesha njia ya kutokea maana wana uzoefu mzur mtaani
Akapake kucha akina Leejay49 ni rahisi na Haina mtaji mkubwa ila Hela ni Nene

Mimi nikikosaga Hela za kubetia huchukua kapu langu la rangi,nazama vijijini huku Tanganyika ambako hawanifahamu,nikipiga deiwaka ya jumamosi na jumapili sikosi 100k

Kupaka kucha 2k mpaka 3k

Kubandika kucha ni kati ya 5k mpaka 10k

Malala gesti safi,nakula Milo safi na utelezi napata bila kutongoza

Ikifika Jumatatu narudi zangu kushika chaki
 
Akapake kucha akina Leejay49 ni rahisi na Haina mtaji mkubwa ila Hela ni Nene

Mimi nikikosaga Hela za kubetia huchukua kapu langu la rangi,nazama vijijini huku Tanganyika ambako hawanifahamu,nikipiga deiwaka ya jumamosi na jumapili sikosi 100k

Kupaka kucha 2k mpaka 3k

Kubandika kucha ni kati ya 5k mpaka 10k

Malala gesti safi,nakula Milo safi na utelezi napata bila kutongoza

Ikifika Jumatatu narudi zangu kushika chaki
Ni idea nzuri,, tatizo hawa vijana wa sikuizi wakishakuaga na degree tu hivyo vitu wanaona sio level zao...na ofcourse biashara ya kucha inalipa kama yupo mjini
 
Back
Top Bottom