Mwenye kujua kampuni gani nzuri ya jiko la gesi+umeme plet 4/6

kikoozi

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
2,030
2,930
Habari za muda huu ndugu zangu wana JamiiForum, baada ya kukaa na kufikilia sana nataka kununua jiko la gesi la Gesi la Plet 6 (4-Gesi + 2-Umeme), nina familia ya mimi na shemeji yenu tu na sitaki kuja kununua tena Jiko uko mbeleni ndio maana nimeamua ninunue la plet izo 6 (USHAURI UNARUHUSIWA).

Swali langu la msingi ni je ni Kampuni gani nzuri ya majiko ya aina iyo, maana nikipitia mtandaoni na madukani kwakweli majiko ni mengi sana mpaka yananichanganya.

Karibuni kwa ushauri
 
Habari za muda huu ndugu zangu wana JamiiForum, baada ya kukaa na kufikilia sana nataka kununua jiko la gesi la Gesi la Plet 6 (4-Gesi + 2-Umeme), nina familia ya mimi na shemeji yenu tu na sitaki kuja kununua tena Jiko uko mbeleni ndio maana nimeamua ninunue la plet izo 6 (USHAURI UNARUHUSIWA).

Swali langu la msingi ni je ni Kampuni gani nzuri ya majiko ya aina iyo, maana nikipitia mtandaoni na madukani kwakweli majiko ni mengi sana mpaka yananichanganya.

Karibuni kwa ushauri
Mimi langu limeandikwa Legacy sasa sijajua kama ndiyo kampuni hiyo au la.....ila nimekaa nalo huu mwaka wa tano na liko kama jipya

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Nakushauri tafuta kampuni ya BEKO. ni nzuri sana inaweza kuwa plate 3 gas na 1 umeme.
 
Chukua hii, majiko yote ya gesi ambayo yanauzwa bongo either yametoka uturuki au china. Technology inafanana hamna unless ni jiko la mtumba limetoka ulaya. Lakini china na uturuki ni kitu kilex2 majina tofauti.
 
Chukua hii, majiko yote ya gesi ambayo yanauzwa bongo either yametoka uturuki au china. Technology inafanana hamna unless ni jiko la mtumba limetoka ulaya. Lakini china na uturuki ni kitu kilex2 majina tofauti.
shukrani sana
 
na umeme unavyokatika hivi ipo siku mtalala njaaa, au mtakula late
Mimi natumia kuni, hivyo ushauri wa aina ya jiko sijui kwa kweli
😂umenikumbusha kisa cha kulala na jaa na chakula kipo kisa umeme umekatika. Hayaja mkuta huyu . Yaani kimsingi kama maisha yapo, nyumbani kwako usikose nishati hizi kwa ajili ya kupikia
UMEME
GESI
MKAA
 
Habari za muda huu ndugu zangu wana JamiiForum, baada ya kukaa na kufikilia sana nataka kununua jiko la gesi la Gesi la Plet 6 (4-Gesi + 2-Umeme), nina familia ya mimi na shemeji yenu tu na sitaki kuja kununua tena Jiko uko mbeleni ndio maana nimeamua ninunue la plet izo 6 (USHAURI UNARUHUSIWA).

Swali langu la msingi ni je ni Kampuni gani nzuri ya majiko ya aina iyo, maana nikipitia mtandaoni na madukani kwakweli majiko ni mengi sana mpaka yananichanganya.

Karibuni kwa ushauri
Majiko kwa ubora:
1. Ariston-bei imesimama, ila ubora, durability na upekee
2. Delta ya pili kwa ubora na bei ni juu ya westpoint, nikai, beko
3. Venus hii ni ya tatu kwa ubora bei ni chini ya delta na iko kidogo juu ya westpoint, nikai, beko na mo electro.
Vitu vingine vya kuangalia ni:
1. Uwezo wako. Kama pesa siyo shida nunua ariston
2. Unataka yenye oven ya gesi au umeme
3. Size ya jiko. 50*50, 50*60, 60*60 au zaidi
 
Back
Top Bottom