Mwenye kuelewa mshahara wa customer care Vodacom na Airtel

Kwa kweli kumlipa mtu mshahara huo si vyema lakini na sisi tuangalie upande wa pili ya shilingi, unataka form four liver alipwe shilingi ngapi?
Kama mtu mwenye degree analipwa 500,000/= kwa nini hio asilipwe hivyo...
Hio kazi ina qualification ya form four liver na kwenda juu
 
Mkuu umeongea point Sana... yaani tuna shida kubwa Sana inayohitaji tubadilike.... Uwezo Wa akili zetu na mawazo yetu ni ujinga mtupu.... Kuna Uzi alianzishaga Nicholas naukubali Sana juu ya wafanyakazi Wa TZ.

well, makampuni yetu nayo huwa hayajui sana kuwalinda wafanyakazi wanaowatumia wakidhani wanaweza watumia wakichoka wanabadili.Ila mwishowe wanaishia kuwa na soko la ajira la wababaishaji walewale wanaohamahama ktk hayo makampuni.

Na kufundishana kupunguza kazi ufanisi kwa buzzwords.

Ukiongoa na wafanyakazi wa haya makampuni au kuchei profiles zao ktk linkedin.com kuna buzzwords na masters za kufuata mkumbo.Cuatomer cares nao wana uwezo mdogo wengi.
 
nenda kafanye interview ufanyishwe kazi kwa siku sita kwa wiki (bila kuumwa, udhuru, kuhudhuria maziko ya ndugu, etc). kwani nani kakuzuia? na acha watu wajadiliane kwa hoja. kama unaona huo mshahara unakutosha, pita kimyakimya ukaombe hiyo kazi.

Wa Tanzania wengi bado hatujitambui mkuu anaona bora aonekane anafanya kazi kumbe mshahara wenyewe hautoboi hata mwezi ushakata na hakuna maendeleo yeyote zaidi ya kunyonywa na hawa wenye makampuni.
Mfano wale vibarua wa barabara pindi inapojengwa analipwa elfu7 per day hapo kula na nauli, sasa mkuu kwa maisha haya yalivyo kuna hela hapo? Wakat mradi ni wa maBillioni.

Kujitambui thamani yako ni vyema zaidi sio kufanya kazi ilimradi uonekane unafanya kazi.
 
Halafu unakwenda renew line..Bogus wa VODA kwa mapause km alivyofanyiwa ktk interview ya kuvuana chupi anakuambia uandike no 5 ulizopiga mara ya mwisho.Km vile hajui kuwa simu ndio kitabu cha mawasiliano.Anaweza kujibu kipuuzi na buzzwords za kiingereza ,wakati ukimwambia aongee kiingereza full anaishia kuchekesha.
 
Halafu ukiujua huo mshahara itakusaidia nini?Fanya interview upewe mkataba then uamue kama unasain au hapana.Soko huria hili ukikomalia kuuliza mishahara utauliza sana wakati wenzako wanapata experience wanachukua kazi za maana.

Experience ya kuongea na simu ndio experience ya kukusaidia kuomba kazi wapi???
 
Halafu unakwenda renew line..Bogus wa VODA kwa mapause km alivyofanyiwa ktk interview ya kuvuana chupi anakuambia uandike no 5 ulizopiga mara ya mwisho.Km vile hajui kuwa simu ndio kitabu cha mawasiliano.Anaweza kujibu kipuuzi na buzzwords za kiingereza ,wakati ukimwambia aongee kiingereza full anaishia kuchekesha.

Lengo la kuuliza namba tano na maswali mengine ni kwa usalama wako wanauliza ili wawe na uhakika kama kweli wewe ni muhusika la sivyo matapeli wangekuwa wanarenew mamba za watu na kufanya yao usiwalaumu customer care as if hayo maswali wanayookuuliza ni kwa faida yao.
 
Kuna kampuni inauza maji yanaitwa Coolblue, wale jamaa wa mauzo wanaotembea na gari wanalipwa 220,000.Lakini mchezo mchafu wanaoufanya kwa siku wanaondoka mpaka na 30,000.Hapo kashamkatia dereva chake, na loader chake.
 
Ison(tigo) hawa sio customer care bali hawa wanahusika na kuingiza fomu za usajili na kazi yao sio kubwa kivile na mshahara wao no 230k,ila customer care wa tigo wa kawaida anapata kuanzia 400k mpaka 800k.
 
Lengo la kuuliza namba tano na maswali mengine ni kwa usalama wako wanauliza ili wawe na uhakika kama kweli wewe ni muhusika la sivyo matapeli wangekuwa wanarenew mamba za watu na kufanya yao usiwalaumu customer care as if hayo maswali wanayookuuliza ni kwa faida yao.
Lakini km nakujua naweza kuwa na watu number hata kumi ulizowahi ongea nazo ktk simu moja km si week.mobile phones zina phone books na hivyo ni watu siku hizi hawana sana kumbukumbu nje ya hizo simu ,labda zimu fulanifulani ambazo zina huduma ya kuweka kumbukumbu online au uwe na back up.
 
Wtu waajab san yan unaweza kuta uyu anae mkatish moyo mwezie yupo home kila asbui aanangojea beki 3 ampigie hodi kumwambia chai tyar, wa2 wapo wanapig hii kaz na wanaendsha familia l, hapo ni juhud yako ya kazi ndo malipo mazur
 
Mimi nimefanya hiyo kazi ya call center kupokea na kupiga nikiwa na hawa wachina wa #StarTimes usiku nilikuwa sipati usingiz vzuri kwa jinsi maskio yanavyowaka moto kupokea simu 180 per day sio jambo la kitoto.....
 
Back
Top Bottom