Sasa najaribu kuunganisha dots nan hii habari kwenye blog ya michuzi
MICHUZI: mdau novatus makunga abariki ndoa na mai waifu wake
MICHUZI: mdau novatus makunga abariki ndoa na mai waifu wake
Mkuu,Ni kilaza wa nguvu,a know wel by the time ni mtunza stoo pia wa AICC.hana IQ hata ya kuzaliwa kusuluhisha kesi.ana mdogo wake aitwae Ernest Makunga aliwahi kuwa mtandao wa Jk,alitegmea udc mwaka 2005 bt sasa ivi jk amempa asimamie miradi yake bagamoyo.
Ni kilaza wa nguvu,a know wel by the time ni mtunza stoo pia wa AICC.hana IQ hata ya kuzaliwa kusuluhisha kesi.ana mdogo wake aitwae Ernest Makunga aliwahi kuwa mtandao wa Jk,alitegmea udc mwaka 2005 bt sasa ivi jk amempa asimamie miradi yake bagamoyo.
Mkuu MiekoSasa najaribu kuunganisha dots nan hii habari kwenye blog ya michuzi
MICHUZI: mdau novatus makunga abariki ndoa na mai waifu wake
Mkuu,
Kipindi hicho nilikuwa naishi nyumba moja ya kupanga na huyu mdogo wake eneo la Sakina Silent Inn!..Dogo alikuwa na maconfidence sana ya kukamata u-dc kutokana na kuwa M*KWERE tu, kabila la mzee. Baada ya majina kutangazwa akiwa hayumo alihama mtaa kabisa!, na baadaye akachaguliwa kuwa kamanda wa vijana wa Wilaya ya Bagamoyo!
...Hata mkuu wa kaya mwenyewe aliwahi kusema kuwa kuwa hakuna chuo chuo cha kufundisha uwaziri, ukuu wa Mkoa au Wilaya...So makunga we chapa mwendo mambo yatajiseti tu.ukuu wa wilaya hausomewi bwana
cv ya nini kwani aliwaomba kazi?