Huyu Makunga amepewa zawadi ya kufanya biased reporting kwenye uchaguzi wa Arumeru mashariki. Alikuwa anapendelea chama cha magamba sana ukiangalia picha za kwenye mikutano ya chadema alikuwa anapiga picha kule ambako hakukuwa na watu wengi kuonyesha mikutano ya chadema ilikuwa inahudhuriwa na watu wachache.