Heri ya hao wanaomkumbuka Nyerere na kumuenzi kuliko wale wa Arusha wakimsikiliza jamaa Le Totoz aliyevaa nepi akilia lia kuwa kila mtu na lwake
Yamkini wewe ni miongoni mwa mafisadi mnaotafuna hela za watanzania maskini ambao wanavuja jasho huku watanzania wanakufa na kulia na hali ngumu ya maisha.