Mkuu nimeshangaa sana kwa hali niliyo ikuta pale Sokoine nilikuwa na jamaa mmoja aliniuliza hivi kwa nini wasitumie utaratibu wao wa siku zote wa kusafisha watu toka maeneo mbalimbali ili waje wawashe mwenge wetu ....nilikosa jibunimeshangazwa sana kuona mwenge ukimwashwa na waziri mkuu leo mbeya, hukuwahudhuriaji wa sherehe hizo wakiwa wanafunzi na wafanyakazi wa serikali, nini tafsili yake wakuu..
SOURCE; mimi mwenyewe plus itv newz
Hakuna makitu nnayo yachukia km hayo sijui mibio ya Mwenge!! wala sioni tija yake, CCM walitutesa sana hasa wakati niko shule ya msingi, mnakwenda huko uwanjani mnatoka shuleni kwenu saa tatu asubuhi, mnaandamana na bendi uwanja upo km 4 toka shuleni kwenu. mkifika uwanjani hakuna kivuli jua ni kali, hakuna maji ya kunywa hakuna chakula, enzi zetu wazazi walikuwa hawakupi hata shilingi kwenda nayo shule mnakaa na kiu na njaa tupu, mnatafuta mpaka mnapata bomba linalotoa maji ndo mnakunywa yale maji si salama. Mgeni rasmi atafika saa nane mchana anawakuta mmeshanyong'onyea kwa njaa na kiu. akiingia mgeni rasmi basi mageti yote yanafungwa hakuna kusepa! Dah kweli CCM mlituweza, nikikumbuka huu ujinga sina hamu!!
Yani mtu mwenye akili timamu unatalajia ahudhurie kusanyiko la kukimbiza moto? no way.
nimeshangazwa sana kuona mwenge ukimwashwa na waziri mkuu leo mbeya, hukuwahudhuriaji wa sherehe hizo wakiwa wanafunzi na wafanyakazi wa serikali, nini tafsili yake wakuu..
SOURCE; mimi mwenyewe plus itv newz
Ukiuliza Hasara za kukimbiza huo moto utaambiwa, ila usiulize umuhimu, ni afadhali hata uulize umuhimu wa Binadamu kujamba utajibiwa na kuridhika.frema hebu tusaidie, umuhimu wa mwenge ni upi?
Heri ya hao wanaomkumbuka Nyerere na kumuenzi kuliko wale wa Arusha wakimsikiliza jamaa Le Totoz aliyevaa nepi akilia lia kuwa kila mtu na lwakeYani mtu mwenye akili timamu unatalajia ahudhurie kusanyiko la kukimbiza moto? no way.
Kukimbiza moto na kueneza virusi vya ukimwi na kutumia pesa za walipa kodi kwa Mambo ya kipumbavu huko ndio kumuenzi Nyerere!!??....Heri ya hao wanaomkumbuka Nyerere na kumuenzi kuliko wale wa Arusha wakimsikiliza jamaa Le Totoz aliyevaa nepi akilia lia kuwa kila mtu na lwake
Kukimbiza moto na kueneza virusi vya ukimwi na kutumia pesa za walipa kodi kwa Mambo ya kipumbavu huko ndio kumuenzi Nyerere!!??....