mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Mkuu wa Jeshi la Polisi Said Ally Mwema amefanya mabadiliko kadhaa ya makamanda wa polisi Mikoa ambapo Kamuhanda ameondolewa Ruvuma na kupelekwa Iringa, Andengenye Thobias katolewa Arusha na kurejeshwa Makao makuu.
Je; Kamuhanda anaondolewa baada ya tume iliyoundwa kuchunguza mauaji yale ya polisi dhidi ya raia? Arusha amepelekwa Sabas ambae ni mwana mabadiliko,atasapoti harakati za cdm na kumdhibiti Mwombeki Zuberi?
Je; Kamuhanda anaondolewa baada ya tume iliyoundwa kuchunguza mauaji yale ya polisi dhidi ya raia? Arusha amepelekwa Sabas ambae ni mwana mabadiliko,atasapoti harakati za cdm na kumdhibiti Mwombeki Zuberi?