kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
huyu wa manyara aliyeletwa arusha unamfahamu maana isije ikawa afadhari ya Andengenye.......maana hawa jamaa nao wana akili usishangae wakatuletea mwenye fujo mwingine
heri andengenye wa arusha kaenda utawala wa rasilimali DSM.kwani hapa arusha kazi yake ilikuwa ni kuwadhibiti cdm badala ya majambazi .andengenye nenda nenda katawale rasilimali kwani arusha uliishindwa nenda nenda kamanda wa ccm