Mwe! Kitu cha ubungo - gongolamboto wageni mtaiweza hii!

Fruit

Senior Member
Jan 1, 2013
193
54
usafiri_dar.jpg
 
Mmmm wenye magari hawana budi kuweka chuma kwenye madirisha hayo ili kunusuru vioo vyao hivyooo, poleni sana wakazi wa huko
 
Mtu wa Arachuga hawezi mziki huo akiingia atajikuta hana simu na nauli
 
Kwa kweli usafiri wa kutoka posta, Ubungo kwenda Gongolamboto unachangamoto sana.Mara nyingi nilikuwa nalipa nauli mara mbili ili nipate nafasi ya kukaa.
 
Back
Top Bottom