Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,105
- 221,817
Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
=====
Viwanja vya Furahisha vyazidiwa watu wamesimama mguu mmoja mmoja , ukisimama miguu miwili umekanyaga mtu
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
=====
Viwanja vya Furahisha vyazidiwa watu wamesimama mguu mmoja mmoja , ukisimama miguu miwili umekanyaga mtu