Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Fikria baba yako naye angekuwa ni miongoni mwa hao waliopata ajali wewe ungefurahi? mbali na tofauti zetu kisiasa lakini hawa watu wa CCM wanabaki kuwa ni binadamu wenzetu wanaohitaji kuheshimiwa utu wao. Utoto mwingi ni kero hata mbele ya mwenyezi Mungu!!
Fikiria kama baba yako akiwa miongoni mwa watakaopata hiyo laana uliyoiapiza hapa ..wewe utafurahi?