Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,225
- 219,401
Huku Kinana, Hamdu Shaka na Chongolo wakiendelea na mikutano ya hadhara nchi nzima, leo viongozi wa Chadema huko Mwanza wamekamatwa wakiwa kwenye maandalizi ya Mkutano halali wa hadhara, kwa nia ya kuongea na wanachama wao ambao wanakadiriwa kuzidi zaidi ya nusu ya wakazi wote wa Mwanza.
Miongoni mwa Waliokamatwa yumo Katibu wa Chama hicho Wilaya ya Nyamagana Mh David Nyakimwe na Mwanachama wa chama hicho ndugu Oswald Mang'ombe.
Katiba ya Tanzania inatoa haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na maandamano bila kikwazo chochote , hawa wanaozuia haki hii ya kikatiba wanatumia katiba gani?
Chama cha siasa ni mabarabarani na majukwaani - JK Nyerere.
Miongoni mwa Waliokamatwa yumo Katibu wa Chama hicho Wilaya ya Nyamagana Mh David Nyakimwe na Mwanachama wa chama hicho ndugu Oswald Mang'ombe.
Katiba ya Tanzania inatoa haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na maandamano bila kikwazo chochote , hawa wanaozuia haki hii ya kikatiba wanatumia katiba gani?
Chama cha siasa ni mabarabarani na majukwaani - JK Nyerere.