Mwanza sehemu gani? huku Butimba Kuna bonge la wingu limetanda tangu saa 12 na likishuka itakuwa ni mvua kubwa sana.Ni maji kila kona. Mvua imeanza ya nguvu almost masaa 3 sasa. Hali si shwari. Nimeamua kukatisha safari.
Mkurugenzi wa Tanesco alisema pamoja na hizi mvua kunyesha sana haya maji ya mvua hayaingii kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme......mgao uko pale paleNi maji kila kona. Mvua imeanza ya nguvu almost masaa 3 sasa. Hali si shwari. Nimeamua kukatisha safari.
Upo Chooni au unakimbizwa?. Ni wapi huko maji kila kona. tanzania ni kubwa sana. Tuambie wapi huko. Hapa kanda ya kati leo sikiu ya pili jua inakandamiza kaka yote.Ni maji kila kona. Mvua imeanza ya nguvu almost masaa 3 sasa. Hali si shwari. Nimeamua kukatisha safari.
Ni maji kila kona. Mvua imeanza ya nguvu almost masaa 3 sasa. Hali si shwari. Nimeamua kukatisha safari.
Umenikumbusha kitambo sana hapo hood kijereshiYasijirudie mafuriko ya December 2000, ilikuwa balaa!
Husemi hata ni mwanza sehemu gani?Nipo Mwanza kuna manyunyu na wingu zito tu, hiyo Mwanza unayosema ya nchi gani?.