Mwanza Kwawaka Moto

Mentee

Senior Member
Jul 14, 2010
142
29
Mji wa Mwanza leo umezizima kwa masaa takribani matano baada ya Wamachinga kuteka mitaa yote ya katikati ya jiji. Uongozi wa Jiji la Mwanza umevunja vibanda vya Wamachinga katika operesheni maalumu na Wamachinga wamejikuta wakilazimishwa kuhamia umbali wa kilomita kama kumi hivi ili kuanza makazi yao mapya ya biashara. Hata hivyo, hali haikuwa kama ilivyotarajiwa kwani uongozi wa Halmashauri ya Jiji hili umejikuta ukipata changamoto kama lile la Tunisia na Misri... ingawa hapa hakuna waliojitoa muhanga na kujichoma moto lakini wamegomea amri ya kuhamia makazi mapya. Leo tangu asubuhi Wamachinga wamekuwa wakipora maduka yaliyo wazi hasa ya Wahindi na kuvunja vioo vya magari yanayopita hususan katika barabara kuu kama ya Kenyatta. Je, Watanzania wamechoka na maisha ya dhiki ya kila siku? Je, viongozi wa ngazi za juu hawasomi alama za nyakati?
 
Ukishakuwa na serikali inayowatete wageni na kuwadharau Wananchi walioipigia kura unadhani nini kinafuata?Nguvu ya umma lazima ishinde tu.Kipindi cha kampeni wanaruhusu wamachinga hadi bustani za mkuu wa mkoa,kwanini baada ya kushindwa wawanyanyase Wamachinga ambao wanajenga taifa kuliko hata walio Ikulu?TAFAKARI!!
 
Mji wa Mwanza leo umezizima kwa masaa takribani matano baada ya Wamachinga kuteka mitaa yote ya katikati ya jiji. Uongozi wa Jiji la Mwanza umevunja vibanda vya Wamachinga katika operesheni maalumu na Wamachinga wamejikuta wakilazimishwa kuhamia umbali wa kilomita kama kumi hivi ili kuanza makazi yao mapya ya biashara. Hata hivyo, hali haikuwa kama ilivyotarajiwa kwani uongozi wa Halmashauri ya Jiji hili umejikuta ukipata changamoto kama lile la Tunisia na Misri... ingawa hapa hakuna waliojitoa muhanga na kujichoma moto lakini wamegomea amri ya kuhamia makazi mapya. Leo tangu asubuhi Wamachinga wamekuwa wakipora maduka yaliyo wazi hasa ya Wahindi na kuvunja vioo vya magari yanayopita hususan katika barabara kuu kama ya Kenyatta. Je, Watanzania wamechoka na maisha ya dhiki ya kila siku? Je, viongozi wa ngazi za juu hawasomi alama za nyakati?
Mkuu Mantee huko ndiko tunako kwenda sasa hivi,acha moto uwake mpaka kieleweke,si mimi tu ila watu wamechoka, ukondoo sasa basi.
 
Na bado,nazan ukombozi kamili utakuja kwa sisi wana jf tukiacha kuongelea humu ndani na kupeleka mawazo yetu barabarani na kuwa mobilize hao wamachinga mana humu ndani maneno mengi ila vitendo hakuna kitu
 
Kama dhiki ndicho kingelikuwa chanzo cha fukuto linaloshuhudiwa hivi sasa, basi fukuto hilo lingelianzia katika miaka ya themanini; maana dhiki tuliyokuwa nayo wakati huo inazidi ya sasa. Lakini kwa wakati huo, hali ngumu ya uchumi ilikuwa inatukabili wote jopo kwa viwango tofauti, kinyume na sasa ambapo wachache wanaogelea kwenye utajiri husio elezeka, wakati wengi wamezama kwenye dimbwi la umasikini wa kutupwa. Hali kama hiyo haikubaliki hata kidogo. Hivyo wale wote wanao hubiri amani, huku wanaendekeza hali hiyo ni maadui wa amani hiyo wanayo hubiri tu majukwani.
 
:sick:Mwanzo kaka bado tunahitaji nguvu mambo taratibu mpaka tunafikia na kuwa na nguvu kama ya Tunisia na Misri basi Mkwere Kikwete lazima akimbie na akiondoka asimsahau Ridh1 pamoja na mama zao. Tumechoshwa kuonewa kila kila ma hawa mafisadi papa. CCm imeweka wageni kwanza mwenye baadaye sasa madhara yake ndio haya nataka hata leo kiwake kama ya Tunisia wajue kuwa hatufugi ujinga wao tena. Magogoni imegeuzwa sehemu ya starehe na Fisadi Kikwete wakati wenye nchi wanahangaika na kuonewa, mjinga Fisadi Kikwete:sick:
 
Hivi Kikwete na Ridhiwan na mama zao wakiondoka, hawa Vuvuzela wengine wa CCM kama Makamba, Msekwa nk nao watakimbia?

Watu kama Anna Mkapa, Mramba, Lowassa, Chenge na kagenge kao ka Mafisadi wakubwa, wanahela nyingi tu za kwenda kuishi nje. Ila hata wakikimbia, kwangu mie wanajidanganya tu kwani wamezoea kuabudiwa. Wakifika huko waendako, watakuwa Visamaki vikubwa kwenye bwawa kubwa sana. Na kibaya zaidi huko kuna akina Papa na Nyangumi.

Walifanya makosa sana kutokuona alama za nyakati. Rostam Azziz yeye ndiyo naona aanze kutembea akiwa na Nepi maana huyu ikianza Tunisia, basi itabidi watu waanzie kwake. Pia kuna hawa Wahindi wa Rada na Ferrari yake, itabidi wawe wanaishi karibu na viwanja vyao vya ndege na huku ndege ikiwa na mafuta ya kutosha kuruka hadi nje ya nchi.

Saa ya ukombozi imekaribia ...............
 
Ni wakati wa hii serikali ya mafisadi kujua kwamba,panakofuka moshi pana moto.
 
Hivi Kikwete na Ridhiwan na mama zao wakiondoka, hawa Vuvuzela wengine wa CCM kama Makamba, Msekwa nk nao watakimbia?

Watu kama Anna Mkapa, Mramba, Lowassa, Chenge na kagenge kao ka Mafisadi wakubwa, wanahela nyingi tu za kwenda kuishi nje. Ila hata wakikimbia, kwangu mie wanajidanganya tu kwani wamezoea kuabudiwa. Wakifika huko waendako, watakuwa Visamaki vikubwa kwenye bwawa kubwa sana. Na kibaya zaidi huko kuna akina Papa na Nyangumi.

Walifanya makosa sana kutokuona alama za nyakati. Rostam Azziz yeye ndiyo naona aanze kutembea akiwa na Nepi maana huyu ikianza Tunisia, basi itabidi watu waanzie kwake. Pia kuna hawa Wahindi wa Rada na Ferrari yake, itabidi wawe wanaishi karibu na viwanja vyao vya ndege na huku ndege ikiwa na mafuta ya kutosha kuruka hadi nje ya nchi.

Saa ya ukombozi imekaribia ...............

Mkuu hakuna kwa kukimbilia siku hizi angalia hapa chini .... .... .... .. hawa tunao tu .... na ni lazima wanyee debe .... ......



Canada in bid to expel Tunisian Belhassen Trabelsi
The Canadian government is working to arrest and expel Belhassen Trabelsi, the brother-in-law of former Tunisian President Zine al-Abidine Ben Ali. Canada has revoked Mr Trabelsi's residency permit and has moved to seize the billionaire's Canadian assets. Mr Trabelsi and his family reportedly arrived in Montreal on a private jet last week after Mr Ben Ali was ousted. Officials at the Tunisian embassy in Ottawa have asked Canada to arrest and extradite Mr Trabelsi.

Speaking to Canadian media in Val D'Or, in the province of Quebec, Mr Cannon said the government would make "every effort" to track down Mr Trabelsi's assets. "He is not welcome," Mr Cannon said. "We are going to find - in the context, obviously, of current legislation - ways to assure, as quickly as possible, that we might comply with the demand from the Tunisia government." 'On the run' It is believed Mr Trabelsi and his family fled the Chateau Vaudreuil Suites Hotel in Montreal on Thursday, and their whereabouts remain unknown. It is unclear how long Mr Trabelsi had residency status, which allows non-Canadian citizens to live in the country and can require a lengthy application process. Mr Ben Ali, who was president for 23 years, was forced from power this month by a series of protests against poverty and corruption. The former president fled with his wife to Saudi Arabia.

Interpol also issued an alert for the arrest of Mr Ben Ali and six family members on request from Tunisia, which has accused them of property theft and illegal transfer of foreign currency, among other charges. The international police agency said member states had been asked to "search, locate and provisionally arrest Mr Ali and his relatives". During a recent trip to Morocco, Canadian Prime Minister Stephen Harper said members of Tunisia's former regime were not welcome in Canada.

Chacha njomba hakuna kwa kukimbilia, I am just waiting for that day .... ...... very soon .... .......soon indeed.
 
Mnapowatimua watu watafutieni maara pa kwenda sio kuwatelekeza alafu muwe wastaarabu sio kuwatia hasara.
Bse hao ni wateja wenu hao wakati wa uchaguzi
 
Kinachotakiwa sasa ni kuunganisha Uonezi toka kila mahali na tuungane na wote Mwanza. Swala la Wamachinga ni sehemu ndogo kati ya matatizo makubwa tulionayo Tanzania. Tusikae majumbani hasa wananchi wa Mwanza na kuwatenga Wamachinga peke yao. Huko Misri na Tunisia ni kijana mmoja tu ali Inspire nchi nzima na mpaka Raisi Ben Ali akaoondoka na kukimbia Tunisia na sasa nchi itabadilika. Ni haki yetu kutaka Jk/Pinda na CCM waondoke Tanzania. Tuache kukaa majumbani kusubiri madiliko kutoka Chadema, viongozi wa Chadema hawawezi peke yao.
 
patam hapo, mzuka wa mapinduzi unapanda,viva la revolucion. Mkwereeee, siku zako zinahesabika, kimbia nchi haraka, rafiki yako james sinclays agent wako wa madin yetu huko marekani atakupa hifadhi wewe na akina miraji au tamil somaiya mwizi mwenzio nae anaweza kukuficha huko kashmiri india wewe na wale mabinti wanaosoma lushoto shule ya kikatoliki, kwanini huku wapeleka jabal hira au hal aramain?wamachinga tupo pamoja mpaka kieleweke.
 
TUNISIA=EGYPT=TANZANI=UGANDA=ZIMBABWE=KENYA=MALAWI=ZAMBIA


Coming sooooooooon:msela:Coming sooon! coming sooooon!:msela:
 
Back
Top Bottom