Mkuu hakuna kwa kukimbilia siku hizi angalia hapa chini .... .... .... .. hawa tunao tu .... na ni lazima wanyee debe .... ......
Chacha njomba hakuna kwa kukimbilia, I am just waiting for that day .... ...... very soon .... .......soon indeed.
TUNISIA=EGYPT=TANZANI=UGANDA=ZIMBABWE=KENYA=MALAWI=ZAMBIA
Coming sooooooooon:msela:Coming sooon! coming sooooon!:msela:
Mji wa Mwanza leo umezizima kwa masaa takribani matano baada ya Wamachinga kuteka mitaa yote ya katikati ya jiji. Uongozi wa Jiji la Mwanza umevunja vibanda vya Wamachinga katika operesheni maalumu na Wamachinga wamejikuta wakilazimishwa kuhamia umbali wa kilomita kama kumi hivi ili kuanza makazi yao mapya ya biashara. Hata hivyo, hali haikuwa kama ilivyotarajiwa kwani uongozi wa Halmashauri ya Jiji hili umejikuta ukipata changamoto kama lile la Tunisia na Misri... ingawa hapa hakuna waliojitoa muhanga na kujichoma moto lakini wamegomea amri ya kuhamia makazi mapya. Leo tangu asubuhi Wamachinga wamekuwa wakipora maduka yaliyo wazi hasa ya Wahindi na kuvunja vioo vya magari yanayopita hususan katika barabara kuu kama ya Kenyatta. Je, Watanzania wamechoka na maisha ya dhiki ya kila siku? Je, viongozi wa ngazi za juu hawasomi alama za nyakati?
<br />We are living in the world where accountability is a necessity to everybody. Haya mambo ya kufikiri nikiharibu hapa ntakimbilia Ulaya yamepitwa na wakati.Labda wakimbilie North Korea. Huko am sure hakuna atakayewagusa.
patam hapo, mzuka wa mapinduzi unapanda,viva la revolucion. Mkwereeee, siku zako zinahesabika, kimbia nchi haraka, rafiki yako james sinclays agent wako wa madin yetu huko marekani atakupa hifadhi wewe na akina miraji au tamil somaiya mwizi mwenzio nae anaweza kukuficha huko kashmiri india wewe na wale mabinti wanaosoma lushoto shule ya kikatoliki, kwanini huku wapeleka jabal hira au hal aramain?wamachinga tupo pamoja mpaka kieleweke.