holy spirit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2020
- 735
- 1,128
sina kiba100 mzee nimejaaliwa sema nini wadog wanawez misamba kuliko ile mi mamakiba100
sina kiba100 mzee nimejaaliwa sema nini wadog wanawez misamba kuliko ile mi mamakiba100
Mkuu ww Lodge zote za Mwanza unazifahamu,Mara Montana Leo tena MaGIda duuh yaan kama Mwalim mkuu hivi anavyotembelea madarasa ya shule yake..MAGIDA lodge
aiseeMkuu ww Lodge zote za Mwanza unazifahamu,Mara Montana Leo tena MaGIda duuh yaan kama Mwalim mkuu hivi anavyotembelea madarasa ya shule yake..
Acha ujinga. Wewe utakuwa jogoo hapandi mtungi ama mchicha mwiba.Kuna maeneo ukipita usiku ni kama yamehalalishwa kwa ajili ya biashara ya ukahaba (Ngono) na mida ya saa mbili ukipita nyuma ya stand ya Nyegezi iliyopo Mwanza utadhani kuna shule ya wanafunzi wa kike waliopo bwwnu sijui kama serikali hailioni hili au ndio kupuuzia.
Imekuwaje mkuu?😂MAGIDA lodge
MI SIAMINI MPAKA NIONE PICHA YAO INAFANANAJEKuna maeneo ukipita usiku ni kama yamehalalishwa kwa ajili ya biashara ya ukahaba (Ngono) na mida ya saa mbili ukipita nyuma ya stand ya Nyegezi iliyopo Mwanza utadhani kuna shule ya wanafunzi wa kike waliopo bwwnu sijui kama serikali hailioni hili au ndio kupuuzia.
Umeongea nn hapa kiongozi?!!yamehararishwa kwa ajiri
hahilioni
aiseeh
Nalijua Moja pale Kwenye fensi imezungushiwa mikeka....nikiri mm pale nafahamika sana...UpNalijua Pale kuna majimbo mawili nahisi ata mwenyekiti wamemlamba kifuta jasho
Ukiwa mteja unapewa bao mbili za bure kuanzia 3 hadi 9 ndio helaMkuu pale kitambo sana kuna siku nilipita nikaona kuna dada poa flan hv amewaita madogo 3 age ya hao madogo haizidi kidato cha pili akaenda nao wote ndani kwa buku 5 .Yani ule mtaa vijana wadogo walishajifunza kununua malaya ata sikuzingine wanakufata ukipita wanasema ata kwa buku 3 wanakubali.
True..
Hawa wa mtaani haupimi na siku ya kwanza ndomu,siku ya pili mnapimana kwa macho mnateleza kavukavu unasimamia show mnachubuana unachukua AIDS.
STD's unazoweza kuchukuwa kwa hawa ni herpes kama utavua boxer.
Ushakuwa member wa kudumuNalijua Moja pale Kwenye fensi imezungushiwa mikeka....nikiri mm pale nafahamika sana...Up
Member kumbe mna offer kabisa😂😂Ukiwa mteja unapewa bao mbili za bure kuanzia 3 hadi 9 ndio hela
Ni Ile kupiga simu tu upo nije?Ushakuwa member wa kudumu
hio stamina ya bao 9 inatoka wapiUkiwa mteja unapewa bao mbili za bure kuanzia 3 hadi 9 ndio hela