Mwanza hali si shwari, risasi za moto na mabom ya machozi yapigwa

Viongozi wenyewe ndo wako mstari wa mbele kuchochea udini. Ebu fikiria hili kama sio upendeleo wa kiimani / kidini? Ni taasisi gani ya kibiashara inaweza kutoa mikopo pasipo riba?

Ukipata jibu; kawaulize NBC / KCB ni kwa nini wanatoa mikopo kwa wenye imani fulani bila riba na sharti ni lazima uje na barua ya kiongozi wako wa dini. Kama si viongozi wetu tuliowapa dhamana hiyo kuchochea udini ni nini?

Tangu awamu ya pili ya uongozi wa nchi hii kumekuwa na kampeini ya kudhohofisha dini fulani na ku-promote dini nyingine. Ni hafadhari mfadhili wao amevuna alichopanda huko Libya. HABARI NDO HIYO.
Hii kali, kama tumefikia huko udini hadi kwenye mikopo katika mabenki ni hatari tunaomba wabunge walifanyie kazi hili na waliwasilishe Bungeni kwa ufafanuzi zaidi.
 
Unahitaji kuwa makini sana unapodili na hawa watu, huwa naingiwa na wasiwasi juu ya aina ya mafundisho wanayopewa. Mtu anaamini akimuua mwenzake anapata thawabu!!!!!!!!!.
 
Mbombo ngafu!!!
yale yale ya kukurupuka.....hawa mabwana sijui wana matatizo gani.
una matatizo makubwa sana yaani wewe ndo umekurupuka badala ya kusoma nilichoandika we nakurupuka tu,acha uvivu wa kutafakari kwa kutumia kichwa badala yake unaandika tu kwa vidole havichoki
mi nilijibu hoja za watu waliouliza tatizo na kupingana na wanaopotosha watu juu ya ukweli wa tatizo lenyewe na sababu ya vurugu za leo huko mwanza......ua unawaza kwa kutumia......nini
 
Kwa ufupi japo sijasoma posts zenu zote lakini ukweli ni kuwa kesi ilipelekwa mahakamani leo kwa ajili ya kusomwa hoja za awali na sio hukumu.Hoja za awali zilisomwa na kesi imeahirishwa mpaka tar 24 nov kwa ajili ya kusikilizwa.Hapa ndipo wavaa suruali fupi walipotaka kufanya fujo mahakamani na polisi kuwatawanya kwa mabomu.Wao hawakutaka wachungaji waendelee kuwa nje kwa dhamana
 
Naogopa nchi ambayo wanangu watakuja kuishi!!! Serikali inawajibu wa kurekebisha haya lakin ndio kinara wa kuchochea udini huu siamin katika kanisa wala msikiti but only God..watoto wa baba mmoja what all this coming from dah
 
he mtu mzima na akili zake anandika asichojua hakimu amepindisha nini na kesi haijaanza?ALAANIWE MWONGO NA MCHONGANISHI
 
nimeongea na mtu aliyekaribu na tukio, ni kwamba yule mchungaji ameshinda kesi iliyofunguliwa zidi yake na WAISLAM MWANZA ya kuchoma Qur'ani Tukufu, kulikuwa na ubishi kati yake na hao waislam kwamba ukichoma QURAN haiungui, na hauchukui siku 2 utakufa, naye akaichukua na kuichoma na hakufa

Na wao kuona hivyo wakachoma KANISA moja hapo MWANZA waliokamatwa wakafunguliwa mashitaka na kufungwa , lakini leo ndiyo ilikuwa hukumu ya mchungaji, na mchungaji ameshinda kesi kwasababu hana hatia ya kujibu kwamba ulikuwa ubishani wa kawaida tu, na yeye mchungaji QURQNI aliinunua mwenyewe.

Kwa hiyo hakuna kesi ameachiwa huru, then ndo wanaleta fujo hapo wanataka kumua na POLICE ndo wanafyatua MABOMU kutawanya watu, nasikia wapo kama 400, hivi
Hawa watu hawako tolerant kabisa....mbona sisi wakatoliki hatujalalamika tulipoona mchungaji Kakobe akikusanya rozari na kusema ni za kutupwa tu ..hizi shanga(rozari) hazisaidii kitu.
 
Kwa sasa mji ni shwari, hali ierejea katika hali ya kwaida, lakini hali halisi ni hii
Polisi mpakasasa wanawashikilia waandamanaji 19, kuna majeruhi mmoja aliyejeruhiwa na waandamanaji kwa madai kuwa ni kafir, na hali ilivyo Sio kwamba wachungaji wameshinda kesi, wala leo haikuwa siku ya hukumu, kilichotokea ni kwamba wachungaji wale wamepata dhamana, kitu ambacho baadhi ya waumini wa kiislam wanakipinga, ndiyo sababu ya maandamano, walikuwa wakipinga dhamana kwa watuhumiwa na kutaka wapewe wawachukulie hatua kwa mujibu wa wanavyotaka wao (according to Mza RPC)
Zaidi sana inaonekana waumini hawa walijua kuwa leo kutakuwa na dhamana, walianza kuhamasishana miskitini toka Ijumaa iliyopita, ili leo waje kwa wingi mahakamani.
Tangu kutokea tukio hili yamefanyika mazungumzo mara nyingi na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa, ili kuwasihi waislam waache sheria ichukue mkondo wake lakini inaonekana baadhi hawakubaliana na hilo, wanataka wenyewe ndio wawashughulikie watuhumiwa au mahakama ifuate matakwa yao.
Kesi itasikilizwa tena tarehe 24, Novemba, 2011, na polisi wanasema watakuwa wamejiandaa na nguvu mara mbili ya hii leo
 
,mchungaji kashinda kesi ..huu ulikuwa ni ushindani wa kipuuzi hata huo mchungaji na waislamu ni wapuuzi vile vile ...hawalijui neno la Mungu
Bible says "Wenye haki wangu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA" nadhani wakipata maarifa watatulia na hali itarudi kuwa shwari
 
Viongozi wenyewe ndo wako mstari wa mbele kuchochea udini. Ebu fikiria hili kama sio upendeleo wa kiimani / kidini? Ni taasisi gani ya kibiashara inaweza kutoa mikopo pasipo riba?

Ukipata jibu; kawaulize NBC / KCB ni kwa nini wanatoa mikopo kwa wenye imani fulani bila ri
ba na sharti ni lazima uje na barua ya kiongozi wako wa dini. Kama si viongozi wetu tuliowapa dhamana hiyo kuchochea udini ni nini?

Tangu awamu ya pili ya uongozi wa nchi hii kumekuwa na kampeini ya kudhohofisha dini fulani na ku-promote dini nyingine
. Ni hafadhari mfadhili wao amevuna alichopanda huko Libya. HABARI NDO HIYO.

Kwa uelewa huo kama mtanzania unasauri nini kwani si muda mrefu utasikia ili uwe mwalimu mkuu wa shule ya msingi lazima uwe omari, abdallah, rashid au ramadhani. Idara zote wamepewa wao na uteuzi ukifanyika hesabu wateule utaona ratio yao. Sasa hivi ajira hasa inayohusu interview na mahala hapo awe anaongoza muislamu utaona kinachofanyika na kinachosikitisha waliopo maofisini wamebadili baadhi ya vyumba/ofisi ambazo haziko occupied kuwa misikiti na hata madarasa au lecture theatre kuwa misikiti na hakuna vipindi kabisa ijumaa kuanzia saa sita na nusu.

Na kwa nini NMB nao wasianzishe akaunti ya wakristo ambayo tutakopa na kutorudisha pesa hizo? NBC ni ya serikali ndo kusema serikali hii ni ya waislamu?
 
nimeongea na mtu aliyekaribu na tukio, ni kwamba yule mchungaji ameshinda kesi iliyofunguliwa zidi yake na WAISLAM MWANZA ya kuchoma Qur'ani Tukufu, kulikuwa na ubishi kati yake na hao waislam kwamba ukichoma QURAN haiungui, na hauchukui siku 2 utakufa, naye akaichukua na kuichoma na hakufa

Na wao kuona hivyo wakachoma KANISA moja hapo MWANZA waliokamatwa wakafunguliwa mashitaka na kufungwa , lakini leo ndiyo ilikuwa hukumu ya mchungaji, na mchungaji ameshinda kesi kwasababu hana hatia ya kujibu kwamba ulikuwa ubishani wa kawaida tu, na yeye mchungaji QURQNI aliinunua mwenyewe.

Kwa hiyo hakuna kesi ameachiwa huru, then ndo wanaleta fujo hapo wanataka kumua na POLICE ndo wanafyatua MABOMU kutawanya watu, nasikia wapo kama 400, hivi
hao waislamu ndio wakorofi-kama walikubalina inakuaje wanajifanya wabishi leo
 
Kwa sasa mji ni shwari, hali ierejea katika hali ya kwaida, lakini hali halisi ni hii
Polisi mpakasasa wanawashikilia waandamanaji 19, kuna majeruhi mmoja aliyejeruhiwa na waandamanaji kwa madai kuwa ni kafir, na hali ilivyo Sio kwamba wachungaji wameshinda kesi, wala leo haikuwa siku ya hukumu, kilichotokea ni kwamba wachungaji wale wamepata dhamana, kitu ambacho baadhi ya waumini wa kiislam wanakipinga, ndiyo sababu ya maandamano, walikuwa wakipinga dhamana kwa watuhumiwa na kutaka wapewe wawachukulie hatua kwa mujibu wa wanavyotaka wao (according to Mza RPC)
Zaidi sana inaonekana waumini hawa walijua kuwa leo kutakuwa na dhamana, walianza kuhamasishana miskitini toka Ijumaa iliyopita, ili leo waje kwa wingi mahakamani.
Tangu kutokea tukio hili yamefanyika mazungumzo mara nyingi na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa, ili kuwasihi waislam waache sheria ichukue mkondo wake lakini inaonekana baadhi hawakubaliana na hilo, wanataka wenyewe ndio wawashughulikie watuhumiwa au mahakama ifuate matakwa yao.
Kesi itasikilizwa tena tarehe 24, Novemba, 2011, na polisi wanasema watakuwa wamejiandaa na nguvu mara mbili ya hii leo
Hawa ndio wanataka wapewe mahakama yao si watamalizana kwa kuchinjana.
 
Hawa watu wana magonjwa kichwani. Kama wanataka si waamie Somalia ili wakatekeleze hizo sharia.
 
Back
Top Bottom