Ndio tutakapotiana adabu.Hayawi Hayawi.... tusipokuwa makini tutauana wenyewe kwa wenyewe....panapofuka moshi.......
UTINGO umefafanua vema sana sana' si busara kufungamana sana na dini hakika uhusiano wako mzuri na muumba wako ndio utakao kupa amani ya kweli apa duniani na mbinguni
naomba mnitajie dhambi za Yesu hapa duniani na mbinguni na Mohamed mtume duniani na mbinguni.Ukipata jibu utajua dini gani ya kushikamana nayo
Kila siku mijini na vijijini kuna vikundi vya kiislam vinatoa mihadhara kukashifu ukristo na biblia. Haya yanaendelea na watawala wetu wamekaa kimya.
Wao wanasema hayo ndiyo mafundisho ya quran. Wanasahau kwamba uislam umekuja miaka 500 baada ya ukristo. Hivyo kwa wakristo waislam wanaonekana wamepotea. Hivi kama kukitokea vikundi vya kikristo vikaaanza kuichambua quran na uislam nchi itakalika kweli?
Watawala wetu hata hili hamlioni? Au mnataka tuuane ili mtawale maiti?
huyu mmoja alioa mtoto wa miaka 6 aitwaye AISHA BINT ABUBAKAR,pia aliwadanganya wafuasi wake kwamba ukichomwa mwiba na kuoga siku ya ijumaa unasamehewa dhambi..lakini pia YOHANA 4:1-3,Wapenzi,msiamini kila roho,bali zijaribu hizo roho,kwamba zimetokana na mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea dunian.katika hili mwamjua roho wa mungu; kila roho ikiriyo kwamba kristo amekuja ktk yatokana na mungu.na kira roho isiyomkiri yesu haitokani na mungu.na hii ndiyo qoho ya mpinga kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.