Hahahahaha LOL! Mbu! miye nashangaa sana wanaosema kwamba mwanya ni ukilema. Nimejaribu kuwakumbuka watu ninaowafahamu kwa haraka haraka wake kwa waume waliojaliwa kuwa na mwanya na wote unawapendezesha sana.
Mbu kumbe unapenda mwanya, nitakutafuta, sawa eeh!
...Ya kaizer tumuachie kaizeri tu, lol! Eti heartbreaker...bro wenye mwanya mashaallahu. Bana
uporoto nafikiri ni kule tu kusikia maneno ya watu kuwa ukiwa na mwanya ni ukilema lakini i can tell you mwanamke mwenyewe mwanya anapendeza sanaMbu mzee mwenzangu mambo yamebadilika wanawake wenye mwanya siku hizi wanaenda kwa dentist kupaziba niliwahi toka na wa hivyo na nikakubali akawa mrembo zaidi baada ya kuziba mwanya.
Hii mpya!'Heartbreak inaletwa na mwanya au?mambo ya mianya....ni ma heart breaker tu...
Thanks we are on the same pageHii mpya!'Heartbreak inaletwa na mwanya au?
Kumbukeni kila mtu ana test yake, kuna wenye kupenda na kuna wasiopenda.Wasiopenda wasilazimishe kuponda, na wanaopenda basi ni hiari na haki yenu.
Mwisho wa siku umbile ni majaaliwa.Penda ulivyoumbwa na ukiona mwenzio kaumbwa tofauti na matarajio yako basi mshukuru muumba wako.
Mbu mzee mwenzangu mambo yamebadilika wanawake wenye mwanya siku hizi wanaenda kwa dentist kupaziba niliwahi toka na wa hivyo na nikakubali akawa mrembo zaidi baada ya kuziba mwanya.
uporoto nafikiri ni kule tu kusikia maneno ya watu kuwa ukiwa na mwanya ni ukilema lakini i can tell you mwanamke mwenyewe mwanya anapendeza sana
Akiwa na dimples na nyama kidogo kati ya kidevu na koo mi napagawa.Mimi napenda dimpose si mwanya.
Unachosema WOS ni kweli niliishawahi kusikia na kukiona pia kwa kuwa ni rafiki yangu kutoka SA yeye nim-AFRIKAAN ana mtoto wa kike and she did exactly what i have highlighted hapo juu with red colorMashallah!!
Wanapendeza na kama kuna anayebisha aseme! Ni bora mwanya ambao ni natural phenomenon kuliko meno yaliyopandiana au kuoteana na kubanana bila mpangilio.Hayo ndio yanafaa kuyatafuatia ufumbuzi.
Mambo yamebadilika ndugu, sasa hivi Ulaya huko watu wanatafutana kupata mwanya.Google utaona mapinduzi haya.
Miaka ya nyuma kidogo nilijionea maajabu mengine katika watu kutafuta urembo.Afrika kusini hasa kwa wale waliochanganyika ( point 5s) walikuwa wanang'oa meno MANNE YA JUU ya mbele wanaacha canines/VAMPIRE TEETH na kuendelea.Mwanzoni nilivyoona nilidhani mtu kapata ajali! Wengi walikuwa vijana kati ya miaka 14- 25!Nilipoona idadi ni kubwa mno nikauliza inakuwaje? JiBU nililopata ni kuwa "wanaong'oa meno ya mbele ya juu wana kiss vizuri na kufurahia kissing zaidi"! MAAJABU!
kWELI.Na huo ukilema ni definition ya nani?au standard ya nani?
...Big up kwa wanawake warembo wa JF wenye mwanya (kama mpo, ni warembo mjitambue.) W'wake wenye mwanya Mnapendeza sana. Halafu, wote niliobahatika kukutana nao (wenye mwanya-mdomoni) ni warembo tosha.
Nini mtazamo wako?
Ahaaa ahaaaa wewe si una DIMPLES banaaaHaya tusio na mwanya ndo tunatengwa hivyo.
Kesho kutwa miguu nayo itasemewa...na mikono...na kiuno.Tusio navyo vyote tulie tu!:disapointed: