Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Si unajua wa kwangu ulivyo delicate
najua tf, nitaupigania moyo wako usivunjwe. Lol!
Si unajua wa kwangu ulivyo delicate
alafu umeusikia huu wimbo mpya wa Ney wamitego 'nimekuzoea baby' ?
Bwana me huwa napata shida sana, mwanya nnao ila nadhani unawafaa sana dada zetu lakini wanaume kuwa na mwanya hapana, kila nkicheka na mtu akanambia "una mwanya" jamani nafumba mdomo haraka sana hata sijui kwanini. Ila wanawake wenye mwana mnapendeza!
Mbona sioni sasa ukiupigania moyo wangunajua tf, nitaupigania moyo wako usivunjwe. Lol!
Ahaaa ahaaa Genekai umenifanya nichekeBwana me huwa napata shida sana, mwanya nnao ila nadhani unawafaa sana dada zetu lakini wanaume kuwa na mwanya hapana, kila nkicheka na mtu akanambia "una mwanya" jamani nafumba mdomo haraka sana hata sijui kwanini. Ila wanawake wenye mwana mnapendeza!
Mbona sioni sasa ukiupigania moyo wangu
Naona bana nimeona tokea ijumaa iliyopita jinsi unavyoupiganiahauoni hivi?..
Hivi...
Hata hivi huoni?
Husinyo hebu jaribu kupiga mluzi kwanzahivi wenye mapengo hamtupendi?
Naona bana nimeona tokea ijumaa iliyopita jinsi unavyoupigania
:yield::yield::yield:mimi nikiona mwanya hata pasiwedi yangu ya JF nasahau. Asiependa mwanya lazima atakuwa kafeli form 2 tu.
Husinyo hebu jaribu kupiga mluzi kwanza
Okay, sasa mimi nataka kuona vidole vyako vya miguu na vya mikononiwenye mapengo haturuhisi kufanya hicho kitendo. Unaweza ukadondosha ulimi.
Okay, sasa mimi nataka kuona vidole vyako vya miguu na vya mikononi
Mhhhh!!!!vidole tu?