simtoi jamani.
<br />je utaruhusu utolewe kamasi?
Jamani Preta wangu ndo maana jana nimekuota Hupo??Clabash baadae ila PM kwanza maelekezo yote utayakuta huko!Nakiwanja kipya!
Maisha ya mebana na ngereja huyu lazima nipotee na magamba wanakulazimisha upotee ila nipo nakatamkaa na kamatwa na Mali ya siri kama si asili!Basi life ni left and right.Hapa kuna jambo si bure.....
Offtopic: Umepotea sana KK
Sasa wewe utapita kwenye shamba la mbigiri bila kuchomwa??Aisifuye mvua....
Nimekwambia kiwanja kipo katika PM!jamani Kakakiiza wangu....yani umepata kiwanja kipya hujaniambia.....ndio maana huwa sikuoni tena pale Calabash.....poa basi ngoja nisubiri unieleze.....
Na hii niliyoweka ndiyo yangu mwenyewe alisi umri unanitupa mkono!KK safari hii umebadilisha saana Avatar... ile ya mwisho ulotoa ilikua ya ukweli...
Na hii niliyoweka ndiyo yangu mwenyewe alisi umri unanitupa mkono!
<br />Hivi inakuingia akilini??kuwa hapa JF utapata kimwana waliopata ni wale wenye bahati zao hapa yeyote mwenye account hapa siwakushobokea atakutoa kamasi!