figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
mtu mwingine unakuta ana sifa za kuwa girlfriend siyo sifa za kuwa mke wa kuweka ndani.miaKuna mdada alipata mimba akaambiwa "mtoto nitalea ila kukuoa sahau."
mtu mwingine unakuta ana sifa za kuwa girlfriend siyo sifa za kuwa mke wa kuweka ndani.miaKuna mdada alipata mimba akaambiwa "mtoto nitalea ila kukuoa sahau."
Kwani alikwambia atakuoa akishakuzalisha?
mwanaume kakuzalisha mtoto halafu hataki kutoa barua,ukimwambia kajitambulishe kwa wazazi hataki na anataka kuendeleza uhusiano. Je, huyo mwanaume ni mkweli au anataka kunipotezea muda tu. Tuna miaka mitano kwenye uhusiano.
hakuna ndoa hapo,ipo siku na me lazma nimfanyizie mdada atakaejichanganya,na hatanisahau kudadeki
kwani mtu akikuzalisha ni lazima akuoe? mbona wanaume wengi tuu kama unataka kuolewa? acha kumganda mtu bwana huyo akutaki
sory sis.....Alafu basi tu... Sipendi neno "KUZALISHWA".... Dah!
sory sis.....
mwanaume kakuzalisha mtoto halafu hataki kutoa barua,ukimwambia kajitambulishe kwa wazazi hataki na anataka kuendeleza uhusiano. Je, huyo mwanaume ni mkweli au anataka kunipotezea muda tu. Tuna miaka mitano kwenye uhusiano.