Wapendwa MMU habari zenu nimewamiss mjue? Mimi nashida na shida iko kwa my huby ana mood mbaya plz help haongelesheki kamwe! (msinitukane tafadhali nawaomba)
Hivi mood zisipoisha hilo si linakuwa GUBU? For a woman i would understand lakini for a man...anyway sijui may be i am overseeing thingsThanx mdogo wangu
Dena hizi moods zilikuwepo tangu mwanzo wa mahusiano yenu?
Kama jibu ni hapana basi jichunguze na wewe kama alivyosema Mbu
Kama huna makosa (yaani unashindwa kulink matendo, maneno na tabia zako) na moods zake basi angalia na pembeni maana inawezekana pia amependa kwingine na wewe anakuona kama kizibio cha furaha yake ya kuwa na ampendaye ni vile tu nd hivyo tena haweziondoka/kukuacha/tengua ndoa.
Kivumah Finest shahidi nampikia namfanyia yote but mood haziishiFanya hivi, Panga siku wiki hii, Ingia jikoni wewe mwenyewe(sio beki tatu) umpikie chakula kizuri akipendacho, pale chumbani ktk kitanda chenu tandika shuka zuuri katikati ya kitanda weka zawadi kwa ajili yake(either perfume aipendayo,boxer,maua etc etc), lengo akiingia tu room akutane nayo, siku hiyo usiku sasa vaa gauni ambalo hajawahi kukuona nalo, ambal litamtia wazimu tu. .....................(reserved)............
Then baadae utamuuliza whats wrong, kama umegundua ulimkose muombe msamaha.
Hivi mood zisipoisha hilo si linakuwa GUBU? For a woman i would understand lakini for a man...anyway sijui may be i am overseeing things
Asante my dearDena hizi moods zilikuwepo tangu mwanzo wa mahusiano yenu?
Kama jibu ni hapana basi jichunguze na wewe kama alivyosema Mbu
Kama huna makosa (yaani unashindwa kulink matendo, maneno na tabia zako) na moods zake basi angalia na pembeni maana inawezekana pia amependa kwingine na wewe anakuona kama kizibio cha furaha yake ya kuwa na ampendaye ni vile tu nd hivyo tena haweziondoka/kukuacha/tengua ndoa.
Hahaha!!! Lol....mimi huwa naamini kila mtu ana Mood na Mood huwa zinaisha sasa hii inawezekana sio Mood tena bali GUBU....umenikumbusha kuna mdada mmoja alianiambia kama wewe kuwa mwanaume mwenye GUBU ni balaa kupita maelezo hata ufanye zuri lipi kwake ni baya kwenda mbeleMdogo wangu The Finest, hapo kwenye Gubu la mume acha kabisa.....mara mia la wifi nakwambia!