Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Aseeee!!
Duh!!
Duh!!
Mpendwa, huwezi kushambuliwa unless mume kanuna mara ya kwanza tu unauliza kwa kumkashifu. Kama ni kitu umejaribu kupata suluhisho ukashindwa tunafurahi kushirikiana nawe (Dr Mbu anakuja sasa hivi,lol)
DA, especially kwa wanaume na baadhi ya wanawake huwa wanahitaji 'hibernation' .
Kama sio wakati mwingi, wewe mpotezee tu. Akiwa na mood hiyo muambie tuangalie movie ili mkae kimya tu na kucheka, or else jiingize kwenye shughuli ya kupanga ama usafi.
Kama anatumia muda mwingi kwenye mood, msubiri wakati yuko kwenye mood nzuri afu uanze kumuibia kwa style ya MJ1, "mpenzi, sometimes unakua na moods and it feels like u ar nt here with me. I miss u wakati ukiwa kwenye mood. I understand unahitaji muda wa kutafakari na kuwa kimya lakini nahisi kama unanipunja mie muda wa kuwa na ww.
Is there something I or we can do to improve this? ww ni rafiki yangu na tunaweza kuongea lolote, mazuri hata mabaya pia..", usisahau ka-juice na his fav meal ishakua tumboni teh teh.
swali la msingi: zamani alikua hivyo ama ni badiliko la ghafla? pole sana,i know it is very disturbing.