Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
- Thread starter
- #21
Hahahahaha! Nna hakika bro nae kidogo azimie baada ya kukutana na marehemu anadunda lol...kumbe wakati mwingine watu wanaua bila kukusudia eeh? Nimecheka sana!... Sasa ya bro iliishia wapi?
Utamu ndo unao ua sisi umewahi sikia mara kibao mme kafa kifuani juu kwa mwanamke.
Yule dada alimtema kwa bro. akasema hana mapenzi ya dhati ameshindwa hata kumpepea