Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar: Muungano unaweza kuvunjika bila ya Fujo

mkataba

Senior Member
Jul 6, 2012
147
37
Mwansheria Mkuu wa Zanzibar (Othman) amewatowa wasiwasi Wazanzibari kuwa Muungano unaweza kuvunji ikiwa Wazanzibari hauwaridhishi ktk muundo wake.

Alisema hayo ktk Baraza la Wawakilishi na kuwasisitiza baadhi ya makada wa CCM ambao wanawadanganya Wazanzibari kuwa muungano hauwezi kuvunjika. Pia aliongezea kuwa Wazanzibari wanatakiwa watoe maoni yao kwa kutaja moja baada ya jengine ambalo hawalitaki ktk muungano.

Vilevile aliwataka Wazanzibari watoe maoni ambayo yataikomboa Zanzibar ili iwe huru na hatimae Dola kamili.

source: ZBC (Radio Zanzibar,TVZ), Shirika la Utangazaji Zanzibar.
 
Uvunjike haraka. Hata hizi purukushani za baharini zitapungua sana. Walioapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT wako wapi?
 
na mimi nina mashaka na tamko hili kwa mtu wa system.

Usiwe na shaka fuatilia mijadala kwenye Baraza ndio utajua hawa jamaa saivi hawana khabari ya Tanzania, wao wanavojua Tanzania ni Tanganyika na Zanzibar ni Zanzibar.

Tanzania=Tanganyika na Zanzibar=Zanzibar
 
Naomba sana huu muungano uvunjwe soon as possible maana tumechoka Wazanzbar kutuaribia sifa ya Tanzania kama taifa lenye Amani.
 
Je kimataifa na sheria za kimataifa zanzibar ina qualify kuwa nchi? au ni sehemu ya Tanganyika??? (nchi kavu kama ilivyo tanganyika inapewa mile/kilometer ngapi kutoka ufuko wa bahari kuingia baharini kabla ya kufika bahari kuu, international waters???)
 
Tazama hii video kuanzia dakika ya 27

 
Last edited by a moderator:
Nimeicheki hiyo video hapo juu, kwa kweli nimemkubali huyo jamaa...
 
Nimeamini tatizo la wazanzibari ni mzanzibari mwenyewe. Wa znz ni wanafiki sana. Jow hard is it for then to unite as one? Hawatofika kokote kama wenyewe kwa wenyewe wako hivi
 
Back
Top Bottom